mwaka2025 harudi.
Hata asiporudi.
Alipofika ni mbali sana ambapo wa Tanzania wengi hawawezi kufika hata wakijichanga ukoo mzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwaka2025 harudi.
Kweli ,mimi nachojua alisoma IFM Advanced Dip.Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Hakuna aijuaye kesho ya mtumwaka2025 harudi.
Mkuu hapo IFM alisoma advance diploma, hakusoma ordinary diploma kama ilivyoandikwa kwenye cv,Ni magumashi tu. Kaunga ifm certificate na ordinary diploma. Ilibidi awe na first degree kusoma masters.
Na hiyo university aliyosoma masters sijui ina acreditation gani.
Ni magumashi 😆🤣. Wajanja hawa wapwani sisi washamba wa bara🤣🤣
Yeah, IFM ndio ulikuwa utaratibu waoKwa hy baada ya certificate akaend adv diploma
Hawa waliosoma juzi ni ngumu kukuelewa, enzi hizo mzumbe ni IDMNdio utaratibu wa ifm ulivyokuwepo zamani.
Sio ifm tu hata chuo kikuu Mzumbe. Watu walikuwa wanasoma certificate mwaka mmoja kisha mwaka unaofata wanajiunga degree
Hawa waliosoma juzi ni ngumu kukuelewa, enzi hizo mzumbe ni IDM
Kausha mwambaCertificate nao ujanja
Failure
Unawapotosha vijana
Huyo katibu wake anakazi gani kurekejisha issue kama hizi..hiyo ni advance diploma alisoma..Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
No, Babu ayubu maisha yake yote anasoma open university tuNadhani ni typing error au mkanganyiko wa kawaida wa kibinadamu, MWANAFA alisoma ADVANCED DIPLOMA ( ambayo ni sawa na DEGREE) ama sifa zake zinakuwezesha kusoma MASTERS DEGREE
Kama sijakosea alisoma na BABU AYUBU
ani yule alipataga ajali akawa anapoteza kumbukumbu?No, Babu ayubu maisha yake yote anasoma open university tu
Nasikia ni wa mle.Ila dogo kumbe alikuwa mjanja mjanja sana alisoma information technology 2003
Yeah, yule ndio alisoma IFM pamoja na radohuenda kumbukumbu zangu hazipo sawa, n
ani yule alipataga ajali akawa anapoteza kumbukumbu?