mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,658
- 8,994
Mzee wa mof wewemimi nimesoma ADA IAA Tena Kwa kulipiwa na wizara ya fedha na masters nimesoma UD , usiongee usiyoyajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa mof wewemimi nimesoma ADA IAA Tena Kwa kulipiwa na wizara ya fedha na masters nimesoma UD , usiongee usiyoyajua
Kwa mtiririko hapo Katoka certificate mpk diploma ukisema hiyo ni advance unaleta ukakasi kidogo kwamba ifm unaweza Toka certificate mpk advance [emoji849]Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Hakuna diploma ya miaka mitatu bali huwa vyuo vinaunganisha miaka mitattu kwa maana ya mwaka kwanza certificate, na miaka miwili diploma. Ukiangalia yeye tayari alikuwa na certifiacte. Hivo kwa aina hiyo ya kozi hakuna diploma ya miaka mitatu, labda fani ya udaktari. Rudi tena kufanya utafiti mpya kuhusu hilo.Diploma ya miaka mitatu imekuwepo kwa mda mrefu mkuu!
Diploma za miaka mitatu ziliwahusu zaidi wahitimu wa kidato cha nne..
NB; diploma hizi hazikuhusisha kada ya ualimu!!!
Umenikumbusha kile kitabu cha bwana Msemakweli kinachoitwa MAFISADI WA ELIMU TANZANIAHuwa hatuchunguzi kwa umakini hawa wateule ila wengi wana makando makando ya history zao za kitaaluma na hata kiutendaji.
No Wonder wapo so incompetent katika kushika na kuzitendea haki nafasi zao za kiutendaji.
Kwa mtiririko hapo Katoka certificate mpk diploma ukisema hiyo ni advance unaleta ukakasi kidogo kwamba ifm unaweza Toka certificate mpk advance [emoji849]
Wivu utakusumbua masikini weInashangaza sana hiiView attachment 2468595
Pompeo aliwahi kusema neno fulani hivi.........!Huwa hatuchunguzi kwa umakini hawa wateule ila wengi wana makando makando ya history zao za kitaaluma na hata kiutendaji.
No Wonder wapo so incompetent katika kushika na kuzitendea haki nafasi zao za kiutendaji.
Huenda ni Brother wako huyo ,kasema kazaliwa 1980 ila ukweli kazaliwa 1974.Ila dogo kumbe alikuwa mjanja mjanja sana alisoma information technology 2003
alisomaje advance duploma bila ya ordinary diploma au degree au masters?Ni advanced diploma hio maana inaonesha alikaa miaka mitatu darasani toka 2004-2007!
Chawa wakeMtu anasoma palipoandikwa Diploma halafu anasema ni Advanced Diploma.
Hii nchi imejaa wajinga wajinga kila kona
Kwa hiyo unaweza ukasoma advanced Diploma wakati una certificate?Alisoma Advance Diploma Ifm ambayo ni equivalent to degree.
Pia alifanya kazi bank ya NBC baada ya kumaliza ifm
Kwani kuteuliwa kuna kiwango fulani cha elimu? Kuteuliwa si hata ngumbaru tu anateuliwa.Usalama wa taifa sijui wanafanya nini mpk watu wa hovyo wanateuliwa!
Huo wimbo unaitwaje shehe? Nimependa ujumbe.Kuna wimbo wake mpya kuna kipande anasema,, ' hela sio matako kila mtu awe nazo' kisa kapata ubunge wa mchongo kwa kuwa hakuwa chaguo la wanachama wa ccm muheza, ila aliwekwa kilazima na aliyetangulia.. afu haka kajamaa kana dharau flani na kujiona kana IQ kubwa kumbe hata hiyo masters yenyewe ni ya mchongo..
Umeandika nini wewe??kivyovote advanced diploma huwezi kusoma bila ya ordinary diploma au degree au masters
Unaweza soma Advanced Diploma ukiwa na certificate. Siku nyingine kaa kimya kwa mambo usiyoyajua.Huu ni uhuni wa hali Juu mfano hata kama alisoma advanced diploma hapo IFM lakini je alisomaje hiyo advanced diploma bila ya ordinary diploma,degree au masters?
kwa series yake ilitakiwa iwe hivi certificate, ordinary diploma, advanced diploma ambayo kwa wakati ule ni equivalent to degee ndio baada ya hapo tungeona hiyo masters begree.
tupimegwaaa