t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Cv ya mtu mkubwa kama huyo inakuwaje na errors?Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cv ya mtu mkubwa kama huyo inakuwaje na errors?Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Kwahiyo ukimaliza certificate unaenda Advanced diploma/ bachelor degree moja kwa moja na sio unasoma ordinary diploma?Ni Advanved Diploma naona kuna error kwa aliyeandika hii CV ,miaka ya nyuma IFM walikuwa wanatoa Advanced Diploma ambayo ni Equivalent na Degree ya sasa ambao nao kwa sasa IFM wanatoa degree wameachana na Advanced diploma
Kuna watu SAUTI Mwanza walisoma certificate mwaka 1 na kuunga degree au hujui hilo?ili mradi uwe umesoma form 6 na kupata results au cheti cha form 6 fuatilia kwa waliosoma SAUTI wengi wao wamefanya hvyoKwahiyo ukimaliza certificate unaenda Advanced diploma/ bachelor degree moja kwa moja na sio unasoma ordinary diploma?
Unazungumzia vyuo vya biashara hivyo.Kuna watu SAUTI Mwanza walisoma certificate mwaka 1 na kuunga degree au hujui hilo?ili mradi uwe umesoma form 6 na kupata results au cheti cha form 6 fuatilia kwa waliosoma SAUTI wengi wao wamefanya hvyo
Ila watu wameajiriwa serikalini (TCRA NSSSF)na private (VODA TCC)na wanakula salary ya maana kwa vyuo vya biashara unavyosema au unakataa?Unazungumzia vyuo vya biashara hivyo.
Ndio alisoma advanced diploma Kisha akasoma masters.Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Alisoma advanced diploma ndipo akasoma masters.Degree yake ya moto ndiyo maana hakuiweka...
2004 -2005, 2005-2006 na 2006 - 2007 kuna diploma ya miaka mitatu kweli? Nadhani ni Advanced diploma ambayo ilikuwa inamuezesha kusoma Post Graduate Diploma. MENGINE atakuja kujibu mwenyewe.Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Diploma ya miaka mitatu imekuwepo kwa mda mrefu mkuu!2004 -2005, 2005-2006 na 2006 - 2007 kuna diploma ya miaka mitatu kweli? Nadhani ni Advanced diploma ambayo ilikuwa inamuezesha kusoma Post Graduate Diploma. MENGINE atakuja kujibu mwenyewe.
Huenda ni master's of forgeryMchongo!
Hakuna advance diploma equivalent to degree!Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Fanya kutuletea tuioneUkiona CV ya Mh. Bashung si utatukana mwanzo mwisho...
Kila mtu ashinde mechi zake hachana na mambo binafsi ya watu
mimi nimesoma ADA IAA Tena Kwa kulipiwa na wizara ya fedha na masters nimesoma UD , usiongee usiyoyajuaUkisoma Advanced diploma unapaswa usome Postgraduate Diploma ili ukwolifai kusoma Masters