kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,839
- 2,481
Kwani Masters sio degree? au ulimaanisha alipataje Masters degree bila kuwa na Degree ya Kwanza (Bachelor degree)?
Yes alipataje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Masters sio degree? au ulimaanisha alipataje Masters degree bila kuwa na Degree ya Kwanza (Bachelor degree)?
We mwenye master orijino ni maskini na makasiriko, ye master ya mchongo takiri full inyunyu rojo safi na mcheshi.Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona watu wengi wa kitambo walisomaga hio kitu baada ya kuua form 6.alisomaje advance duploma bila ya ordinary diploma au degree au masters?
Ukiishi mitaa ya maskini lazima ulogwe ama wakuibie.Ni magumashi tu. Kaunga ifm certificate na ordinary diploma. Ilibidi awe na first degree kusoma masters.
Na hiyo university aliyosoma masters sijui ina acreditation gani.
Ni magumashi [emoji38][emoji1787]. Wajanja hawa wapwani sisi washamba wa bara[emoji1787][emoji1787]
Siasa haitaki kusoma sana. Wasomi wawe madaktari na ma Engineer jamani. Siasa Ni blahh blah za kutosha yaani ujanja ujanja na kujipendekeza Mara umfungie ridhiwani kamba ya kiatu ukuu wa wilaya ama wajumbe wanakupitisha Mana simu inatoka juuCCM wameua elimu yetu ,hao ndio thinkers wa Rais wa samia
Nilipoona icho kigari apo kwenye prospectus, nikajua hakuna chuo hapo.Watanzabia exposure yetu kwenye elimu ni ndogo sana.
Kiti ambacho hamjui ni kuwa unaweza kuso, a masters bila kuwa na degree ya kwanza kama utakuwa na experience baada ya kufamya kazi imaondana na hicho unacho kisomea.
[emoji116] Hii hapo chini prospectus ya Moja ya vyuo hapa Africa na hivyo ndio vigezo vya kujiunga na Masters programView attachment 2532907
Ndigu zangu watanzania tiache maisha ya kukariri
Nakuunga mkono, ndiomaana kaisoma kwa miaka mitatu na ukiangalia ana certificate tayari.Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Masters ni kitu gani? Is just 8m school fee, ana degree huyo Dogo nzuri tu ya heshimaKuna sura ukiziona ukiambiwa zina masters unachekaa 🤣🤣🤣
Ukipiga advance diploma lazima usome post graduate diploma ndo upige mastaz au labda kwa vile kasoma mbele kaweza kuwakwepa TCUInawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Sio lazima. Ni baadhi ya vyuo ndo hulazimisha upite kwanza postgraduateUkipiga advance diploma lazima usome post graduate diploma ndo upige mastaz au labda kwa vile kasoma mbele kaweza kuwakwepa TCU
Mbona Musukuma std 7 but....Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Upuuzi mtupuInashangaza sana hiiView attachment 2468595
Labda ya onlineWe kwa utashi wako unaamini coventry university wamepigwa kumruhusu kusoma masters au sio 🤭