Mbunge wa Muheza, Mwana FA alipataje Master's Degree bila kuwa na Bachelor degree?

Huwa hatuchunguzi kwa umakini hawa wateule ila wengi wana makando makando ya history zao za kitaaluma na hata kiutendaji.

No Wonder wapo so incompetent katika kushika na kuzitendea haki nafasi zao za kiutendaji.
 
Hivi huwa kuna watu wanajitoaga akili kama wewe?fuatilia mjadala wa nyuma utapata majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…