TANZIA Mbunge wa Newala Vijijini, Ajali Rashid akutwa amefariki katika Gesti ya Mingoyo

TANZIA Mbunge wa Newala Vijijini, Ajali Rashid akutwa amefariki katika Gesti ya Mingoyo

Hakika Bwana altioa, na pia ndiye amemtwaa mja wake, Jina lake Mola wetu likapate kubarikiwa. Pole nyingi kwa familia ya marehemu, kwa wapiga kura wake na kwa Bunge la JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Newala vijijini, AJALI RASHIDI AKBAR amekutwa amefariki katika gesti ya Mingoyo - Mnazi Mmoja - Lindi, inaelezwa kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti hiyo mpaka sasa bado chanzo cha kifo chake hakijafahamika na mwili wake umepelekwa hospitali ya Sokoine kwa uchunguzi.

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza kusikitishwa kwa taarifa za kifo cha Mbunge wa Newala Vijijini, Rashid Akbar, kilichotokea leo Januari 15, 2020 mkoani Lindi, na kueleza ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia watatoa taarifa ya mazishi ya Mbunge huyo.

Wakati akiwa hai akichangia mjadala Bungeni
View attachment 1324208
Kila Mja atafufuliwa juu ya lile alofia juu Yake.
Watu Tumepumbazika sana na Dunia,
Ila atajuta Mwanadamu atakayeondoka Duniani akiwa hajaridhiwa na Mola wake.
 
Leo nilijuwa ndungai angetoa majibu ya nyodo kama alivyosema kwa Lissu kuwa hajui yupo wapi ! Ningemwona ndungai wanasema binge lilikuwa halijuwi kama marehemu anakaa gesti house miaka yote minne hana kibanda
 
Soteni wa Mwenyezimungu Na kwake tutarejea,
Tutakukumbuka kwa mengi maZuri
Mwenyezimungu akuhifadhi mahali panapostahili
 
Back
Top Bottom