Eeh hii ni sababu pia watu wanageuza mapenzi kuwa vitaInawezekana wengine wanatumia kiasi kikubwa cha dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kupata ushauri wa daktari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh hii ni sababu pia watu wanageuza mapenzi kuwa vitaInawezekana wengine wanatumia kiasi kikubwa cha dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kupata ushauri wa daktari.
Za kuongeza nguvu zinaongezeka. Nadhani utakuwa umeelewaAlazwe Anapostahiri
Vifo Kwenye Nyumba Za Wageni Vinaongezeka
Unakuta mtu age imeenda alafu ana sukari, pressure bado anaongeza dawa ambazo zinaongeza mapigo ya moyo kwenda kasi ili tu mpenzi wake awe satisfied.Eeh hii ni sababu pia watu wanageuza mapenzi kuwa vita
Kulikuwa na nini mkuu?Vyumba vya gesti vinamauzauza mengi sana.
Luna nililala kwenye nzuri na ya maana tanga niliomba kukuche.
huyu alikuwa ndio mmiliki wa hiyo gesti nasikia alikuwa mafiaVyumba vya gesti vinamauzauza mengi sana.
Luna nililala kwenye nzuri na ya maana tanga niliomba kukuche.
Kila Mja atafufuliwa juu ya lile alofia juu Yake.Mbunge wa Newala vijijini, AJALI RASHIDI AKBAR amekutwa amefariki katika gesti ya Mingoyo - Mnazi Mmoja - Lindi, inaelezwa kuwa yeye ndio mmiliki wa gesti hiyo mpaka sasa bado chanzo cha kifo chake hakijafahamika na mwili wake umepelekwa hospitali ya Sokoine kwa uchunguzi.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameeleza kusikitishwa kwa taarifa za kifo cha Mbunge wa Newala Vijijini, Rashid Akbar, kilichotokea leo Januari 15, 2020 mkoani Lindi, na kueleza ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia watatoa taarifa ya mazishi ya Mbunge huyo.
Wakati akiwa hai akichangia mjadala Bungeni
View attachment 1324208
"Mungu" ni mmoja wa Tanzania! hayo unajisumbua. Anajulikana , anapenda kutukuzwa, asikosolewe, aabudiwe... anajulikana, Si Mbowe katu!
Basi KARMA Imefanya kazi.
Inverted commas "Mungu"shetani hawezi kuwa Mungu lakini anaweza kuwa mungu
Kufia CCM ni sawa na kufia dhambini. Utapata wapi muda wa wokovu tena?
CCM haina serikali wewe...kama ambavyo serikali yangu ya CCM inavyo shughulikia matatizo ya Raia wake.