Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mno yani mimi baada ya kusikia hilo nilisikitika sana halafu juzi nikaona uongo mwingine wakidai wamasai wanamuomba sa100 wahame wameshikishwa na mabango feki kesho yake naona waandishi wa habari wameshambuliwa na mikuki na mishale hakika niliendelea kudhibitisha hii nchi viongozi wetu ni wahuni na wako kwa ajili ya matumbo yaoNi mpumbavu pekee ataamini wamasai wamehama kwa hiari. Tanzania tunafanyiana ukatili usiomithilika kwa uroho wa pesa na madaraka. Inasikitisha sana yani.
Ukiambiwa udhibitishe una ushahidi?Si ndiye alikua nyuma ya wanahabari kushambuliwa!?
Yangu machoMbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Ni mambo ya ajabu sana yanazidi hata DPWSamia anayowafanyia wamasai huko Ngorongoro kuna siku yatawekwa wazi. Mambo ya ajabu kabisa.
Mbona unajihisi!!..hujaona alama ya kuuliza!?Ukiambiwa udhibitishe una ushahidi?
Kwa taarifa ya awali ya mwananchi paper ni asilimia tatu tu! Waliohamishwa kwenda msomera.Yani mambo ya ajabu sana
Kuna jamaa yangu nilikuwa naongea nae akaniambia suala la Ngorongoro ni la moto sema tu halijapewa airtime kama DPW.
Unaambiwa habari za kusema wamasai wamehama kwa hiari ni uongo mtupu.
Hii nchi kazi kwelikweli
Mh. Rais kazungukwa na genge la waharifu, nenda Tanzanite na mkoa wa manyara kwa ujumla kuna bonge la ujambazi wa vitalu vya kuwindia unaendelea, Tanzanite mapato ni mwendo wa kugawana wamejazwa Wazanzibar mpaka balaa na wilaya yenye mkakati kamuweka mkuu wa wilaya balaa.Samia anayowafanyia wamasai huko Ngorongoro kuna siku yatawekwa wazi. Mambo ya ajabu kabisa.
Siyo kwamba na yeye ni jambazi mmoja wao?Mh. Rais kazungukwa na genge la waharifu, nenda Tanzanite na mkoa wa manyara kwa ujumla kuna bonge la ujambazi wa vitalu vya kuwindia unaendelea, Tanzanite mapato ni mwendo wa kugawana wamejazwa Wazanzibar mpaka balaa na wilaya yenye mkakati kamuweka mkuu wa wilaya balaa.
Mno yani mimi baada ya kusikia hilo nilisikitika sana halafu juzi nikaona uongo mwingine wakidai wamasai wanamuomba sa100 wahame wameshikishwa na mabango feki kesho yake naona waandishi wa habari wameshambuliwa na mikuki na mishale hakika niliendelea kudhibitisha hii nchi viongozi wetu ni wahuni na wako kwa ajili ya matumbo yao
Hapana Rais Dkt Samia hajui vitu vingi kwa sababu walimfanyia kama alivyofanyia Papa Yohana wa II, yaani walimtenegenezea na bado wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.Siyo kwamba na yeye ni jambazi mmoja wao?
Mwarabu alianzia huko kumilikishwa maeneo kibabe. Walishoot wamasai yani bloodshed ya kimafia kabisa.Hatari kweli kweli. Huko nako kumbe ni Mwarabu?
Ok kumbe ni swali sorry....japokuwa polisi wetu walivyokosa welding watamfanya kama ni suspect namba moja😕Mbona unajihisi!!..hujaona alama ya kuuliza!?