DOKEZO Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni mpumbavu pekee ataamini wamasai wamehama kwa hiari. Tanzania tunafanyiana ukatili usiomithilika kwa uroho wa pesa na madaraka. Inasikitisha sana yani.
Mno yani mimi baada ya kusikia hilo nilisikitika sana halafu juzi nikaona uongo mwingine wakidai wamasai wanamuomba sa100 wahame wameshikishwa na mabango feki kesho yake naona waandishi wa habari wameshambuliwa na mikuki na mishale hakika niliendelea kudhibitisha hii nchi viongozi wetu ni wahuni na wako kwa ajili ya matumbo yao
 
Yangu macho
 
Yani mambo ya ajabu sana

Kuna jamaa yangu nilikuwa naongea nae akaniambia suala la Ngorongoro ni la moto sema tu halijapewa airtime kama DPW.

Unaambiwa habari za kusema wamasai wamehama kwa hiari ni uongo mtupu.

Hii nchi kazi kwelikweli
Kwa taarifa ya awali ya mwananchi paper ni asilimia tatu tu! Waliohamishwa kwenda msomera.
Na kinachofanyika sasa ni hujuma za wazi wazi Kwa Jamii ya wamasai ili wagive up waombe kuondoka! Serikali na NCCA wameacha kupelekea fedha zozote Kwa ajili ya huduma za afya maji na soda elimu na wamewazuia wadau wowote Kutoa huduma hizo!
Kilichotokea ndio hiki sasa wanamwinda Mbunge Kwa kuwatetea wananchi wake wasihame!

Kitenge et al wiki iliyopita walitaka kulianzisha tena eti Wamasai Loliondo wamwangukia mama Samia awahamishe! Wakajikuta swala la DP weld linawaelemea na pesa wamekula
 
Samia anayowafanyia wamasai huko Ngorongoro kuna siku yatawekwa wazi. Mambo ya ajabu kabisa.
Mh. Rais kazungukwa na genge la waharifu, nenda Tanzanite na mkoa wa manyara kwa ujumla kuna bonge la ujambazi wa vitalu vya kuwindia unaendelea, Tanzanite mapato ni mwendo wa kugawana wamejazwa Wazanzibar mpaka balaa na wilaya yenye mkakati kamuweka mkuu wa wilaya balaa.
 
Mnakandana wenyewe kwa wenyewe tena

Ova
 
Siyo kwamba na yeye ni jambazi mmoja wao?
 
Yani taratibu tutakuja kufika walipo Congo DRC. Huwa hayaanzagi ghafla tu. Wamasai watakapochoka zitaanza ambush kama za Kibiti ndio tutaheshimiana.
 
Siyo kwamba na yeye ni jambazi mmoja wao?
Hapana Rais Dkt Samia hajui vitu vingi kwa sababu walimfanyia kama alivyofanyia Papa Yohana wa II, yaani walimtenegenezea na bado wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ