DOKEZO Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Siku Tanganyika ikirudi tutarudisha vitu vyetu. Muungano wa kichoko sana. Nyerere alaaniwe popote alipo.
 
amani tuliyonayo naona imetuchosha.
 
mwarabu kaleta balaa nyumbani Tanzania, wanataka ngorongoro, wanataka misitu, wanataka bandari.
 
Pia soma hapa
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Mungu anaratibu anguko la CCM... Mungu anaofuta CCM kwa kasi kubwa. Amewafunga ndimi zao wanaongea kila mtu kama mkazi wa mnara wa Babeli
 
Kuna kiongozi wa dini amesikika akisema Magufuli aliwaua na kuwanyanyasa watu sasa sijui Magufuli bado yupo hivi sasa!!?
 
Acha tu atishiwe maisha maana amezidi ujinga. Badala ya kujenga hoja anakimbilia vita! Ametuma watu wafanye uhalifu halafu asikutane na mkono wa sheria!
 
Acha tu wamlawiti
 
Kuna kiongozi wa dini amesikika akisema Magufuli aliwaua na kuwanyanyasa watu sasa sijui Magufuli bado yupo hivi sasa!!?
Mungu alisha muhitaji akajibu
 
Yani mambo ya ajabu sana

Kuna jamaa yangu nilikuwa naongea nae akaniambia suala la Ngorongoro ni la moto sema tu halijapewa airtime kama DPW.

Unaambiwa habari za kusema wamasai wamehama kwa hiari ni uongo mtupu.

Hii nchi kazi kwelikweli

Watu wazima wamejizima data na kusahau kuwa ....Unaweza kumlazimisha Punda kwenda mtoni lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ