Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Siku Tanganyika ikirudi tutarudisha vitu vyetu. Muungano wa kichoko sana. Nyerere alaaniwe popote alipo.DPW inawachanganya, Ngorongoro kunawachanganya yote ili kumfurahisha mwarabu, tuna kiongozi mjinga sana, hawajali hata kama wazee wa wenzao wanazimia, wao wako busy kama watumwa wa mwarabu kuhakikisha wanamuandalia makao mema bosi wao.
Aibu kubwa sana hii.
Tanzania ni kisiwa cha amaniamani tuliyonayo naona imetuchosha.
mwarabu kaleta balaa nyumbani Tanzania, wanataka ngorongoro, wanataka misitu, wanataka bandari.Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
โNaomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arushaโ - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Pia soma hapaMbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
โNaomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arushaโ - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Kuna kiongozi wa dini amesikika akisema Magufuli aliwaua na kuwanyanyasa watu sasa sijui Magufuli bado yupo hivi sasa!!?Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
โNaomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arushaโ - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Soon watataka roho zetu watu weusimwarabu kaleta balaa nyumbani Tanzania, wanataka ngorongoro, wanataka misitu, wanataka bandari.
MatopeWanaoshabikia CCM, sijui wana akili gani!!
Acha tu wamlawitiHao walikuwa wanahabari au MAWAKALA WA MAFISADI NA WALA RUSHWA WAKUBWA WA AWAMU YA SITA?
Kwa taarifa yako Mawakala wa Mafisadi na walarushwa ni wasaliti wa Taifa. Hawa waandishi wa aina ya KITENGE na wa gazeti la mwananchi ni maadui wa taifa.
Hawa wanajali matumbo yao tu na starehe za familia zao. Hawana habari Kabisa na dhiki wanazopata maefu ya wamasai. Kwa maoni yangu Kushambuliwa tu haitoshi, hawa haki yao ni kufugwa jiwe la kusagia na kutupwa baharini.
Polisi hawakuvamii tu,ye asitafute kuonewa hurumaOk kumbe ni swali sorry....japokuwa polisi wetu walivyokosa welding watamfanya kama ni suspect namba moja๐
Mungu alisha muhitaji akajibuKuna kiongozi wa dini amesikika akisema Magufuli aliwaua na kuwanyanyasa watu sasa sijui Magufuli bado yupo hivi sasa!!?
Yule fala ni mchocheziKuna kiongozi wa dini amesikika akisema Magufuli aliwaua na kuwanyanyasa watu sasa sijui Magufuli bado yupo hivi sasa!!?
Aliifunga nani !! Na ilifungwa wapi!!?....
Hapana ni kisiwa Cha UOGA....Tanzania ni kisiwa cha amani
Yani mambo ya ajabu sana
Kuna jamaa yangu nilikuwa naongea nae akaniambia suala la Ngorongoro ni la moto sema tu halijapewa airtime kama DPW.
Unaambiwa habari za kusema wamasai wamehama kwa hiari ni uongo mtupu.
Hii nchi kazi kwelikweli