Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hivi hapo fisadi ni yupi?anayetumia kodi za wavuja jasho kufanya biashara haramu ya binadamu?Atasema amependa juhudi za jiwe za kupambana na ufisadi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hapo fisadi ni yupi?anayetumia kodi za wavuja jasho kufanya biashara haramu ya binadamu?Atasema amependa juhudi za jiwe za kupambana na ufisadi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kipindi hiki ndiyo tunawajua makapi na wafia nchi wa kweli kupitia cdm na hakika hatukatishwi tamaa na hao wachumia tumboChadema ndo inazidi kumairika wachumia tumbo wataondoka wote
Jipe moyo wananchi tupo imara na chadema.Acha kujipiga moyo konde wewe. Hata kipofu anaona jinsi machadema yanavyosota waya kipindi hiki.
Dunia mzima inatudharau yaani badala tupambane na umasikini sisi tunapambana na upinzaniBadala ya kupambana kuimarisha uchumi wanapambana kununua viongozi akili za watu wapumbavu
machadema matapeli makubwa....maccm majizi
Ni kweli kabisa Dada wa Taifa hajawahi kukosea kutoa taarifa muda utaongeaJuzi Dada Mange Aliandika kuwa ni Mpango Lowasa kuwapeleka kuwapeleka baadhi yaWabunge wa upinzani CCM baada ya Mbowe kuanza kumdharau na alimtaja huyu OLE kuwa atahama Muda si Mwingi sasa naona itatokea kweli Dada Mangi huwa hakosei.
Halafu 2020 mnagalagazwa vibaya.Jipe moyo wananchi tupo imara na chadema.
Yaani tena wanapeta tu bila shaka,Huoni akina Lugumi wapo mtaani
Mwambie huyo chumia tumboJipe moyo wananchi tupo imara na chadema.
Kuna siku isiyo na jina mungu atang'oa visiki vyoteMkuu huu utawala umelaaniwa
Endeleeni kupayuka hivyo hivyo.Ccm hajawahi kushinda kwa haki bila kusaidia na vyombo vya usalama. Mwisho wenu unakuja
hapo chachaHilo 2020 atagombea Millya au Ole Sendeka?
Ufinyu wa akili umewafanya watu wasielewe dhana na umuhimu wa vyama vingi kwa maendeleo ya kweli na amani ya kweli kwa taifa. Amani ya kulazimisha ni vitu vya kupita tu na wananchi hawawi na utulivu halisi pasipokuwepo na demokrasia pevukifo cha upinzani ni janga kwa watanzania wote. ndio maana yule mzee wa mwitongo alikubali kura 20% zishinde dhidi ya 80% kwa sababu maendeleo chanya yanaletwa nguvu mbili zinazokizana.
''AKITUMALIZA SISI ATAANZA NA NYIE'' TUNDU LISU