Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Ndio ukweli huo wananchi tutasimama na chadema nyie endeleeni na biashara ya kununua binadamu.Au eti hata wakiondoka wote chama hakitatetereka. Duh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli huo wananchi tutasimama na chadema nyie endeleeni na biashara ya kununua binadamu.Au eti hata wakiondoka wote chama hakitatetereka. Duh.
Wananchi gani wewe?...wananchi tutasimama na chadema...
Inakuuma eeh.pole sana ndio hivyo.Labda watanzania wa ufipa, hapo nitakuelewa.
Sisi watanzania.Wananchi gani wewe?
Yako ndiyo hewa sisi tunasonga mbele kwa kasi ya dreamliner!!Matumaini hewa!!!!!
Sema sisi wa ufipa wewe. Mbona unataka kulazimisha watu wote?Sisi watanzania.
Unataka upinzani wa kuwalamba makalio ccm? Upinzani wa ndiooooo.hahahaha haipo hiyo mzee wananchi tupo na chadema.Upinzani wa kuabudu wazungu ,kupinga maendeleo na kutukana viongozi wetu bora ufe tu.
Chadema haitakufa mileleOle Milya na yule Mbunge wa Monduli ni vijana wa Lowasa, wote kuondoka ndani ya muda wa wiki moja ni meseji tosha nini kinafuata kuhusu Lowasa. CDM walifanya kosa kubwa sana 2015 kumpa Lowasa kijiti mbaya zaidi ni kama wamechanganyikiwa hawana akili wala uwezo wa kuonyesha nini cha kufanya.
Magu amedhamiria kuidondosha CDM, na kweli inaenda kudondoka, wote ambao walikuwa wana akili au uwezo wa kuisaidia CDM walishafukuzwa au kuwekwa pembeni. Mnyika na kina Prof Baregu ni wazi wamemsusia Mbowe azame na “jahazi” lake. Nimeikumbuka ile cream ya CDM ikiongozwa na Dr Slaa, Zitto na Mnyika. Nyuma ya pazia kukiwa na wana mikakati kama Prof Baregu na Prof Mkumbo. Hii ndio cream iliyoipaisha CDM, Wote hao hawapo CDM saivi au wameamua kuwa viongozi wafu, CDM jahazi linazama.
Mwisho na muhimu, nyumbxxx wa CDM watambue kinachouliwa ni CDM na sio upinzani, ilikufa NCCR ikija CUF, ikafa CUF ikaja CDM, na sasa CDM tayari ina kiharusi 2020 tunaizika, wazee wa fursa ni muda wa kujiongeza tu huu.
Mngekuwa mnanunua wanachama wa kawaida tungeshtuka lakini kwa hao viongozi waende tu njia nyeupee.Chama kinakufa atabaki peke yake. Kuna msemo wazungu husema, if you cant fight ith them...... Join them. Nafikiri cdm ili wakwepe aibu ilombele yao wangeutumia huu msemo
Kitu pekee mnachoweza kumfanya labda mumuue.Pole sana mkuu mpaka mwenyekiti pia yumo kwenye mapatano ya bei!
Pole yaani mpaka unatia huruma. Wakati wanatoka ccm kuja cdm mbona hamkusema mnawanunua? Bali mlisema ni mafuriko, sasa ukae ukijua kuwa mafuriko hutokea pindipo mvua yanyesha, na ikikata mafuriko huisha na maji yote hurejea baharini(ccm).Hiyo kodi inayopotea wewe haikuhusu?
Eti Tanzania ya viwanda!!!!
We unashangaza kweli!!Wakati wanakuja CHADEMA walikuwa wanajiuzulu nafasi zao na kupelekea nchi kuingia kwenye uchaguzi?Pole yaani mpaka unatia huruma. Wakati wanatoka ccm kuja cdm mbona hamkusema mnawanunua? Bali mlisema ni mafuriko, sasa ukae ukijua kuwa mafuriko hutokea pindipo mvua yanyesha, na ikikata mafuriko huisha na maji yote hurejea baharini(ccm).
Mkuu ina maana hakuna sababu nyingine ya hii migration zaidi ya neno "kununuliwa" mbona kama mnajaribu kujificha..Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Ye mmefika bei gani?Pole sana mkuu mpaka mwenyekiti pia yumo kwenye mapatano ya bei!
Mngekuwa mnanunuaChama kinakufa atabaki peke yake. Kuna msemo wazungu husema, if you cant fight ith them...... Join them. Nafikiri cdm ili wakwepe aibu ilombele yao wangeutumia huu msemo
Sisi watanzania kama inakuuma jinyonge.Sema sisi wa ufipa wewe. Mbona unataka kulazimisha watu wote?