Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hivi wewe unafikiria inasaidia nini kulazimisha watu?Mngekuwa mnanunua
Sisi watanzania kama inakuuma jinyonge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe unafikiria inasaidia nini kulazimisha watu?Mngekuwa mnanunua
Sisi watanzania kama inakuuma jinyonge.
Wewe una matatizo kwenye mtindio. Yaani hujui wanachokifanya kama ni Uhuru wa kikatiba? Jitafakari.We unashangaza kweli!!Wakati wanakuja CHADEMA walikuwa wanajiuzulu nafasi zao na kupelekea nchi kuingia kwenye uchaguzi?
Teh mkuu mbona unaumia kusikia watanzania tupo imara na chadema? Vumilia tu mkuu chadema inapendwa hutaki jiue kununua viongozi haitasaidia kuitenga na sisi wananchi.Hivi wewe unafikiria inasaidia nini kulazimisha watu?
Machadema kumbe siyo ya kuaminiwa kabisa!Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Mkuu kwema kabisa upooo?Mkuu kwema habari za masiku
Hao wale wachache wachumia tumbo wanaangalia maslahi ya matumbo yao yao. Hakuna mtu anayejitambua anayeuza thamani ya utu wakeSi huwa mnajisifu humu kwamba watu wa kaskazini mnajitambua.
Sasa haya yanayotokea yanawavua nguo.
Kuna mzee mmoja aliniambia wafrika wote akili zao zinafanana. Uende west east north au south wote sawa tu.
Wacha watifuaneHilo 2020 atagombea Millya au Ole Sendeka?
Kweli mkuu mabenki yanafilisika wao wako kwenye soko ka wabunge na madiwani wa cdmHii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Acha kujipiga moyo konde wewe. Hata kipofu anaona jinsi machadema yanavyosota waya kipindi hiki.Teh mkuu mbona unaumia kusikia watanzania tupo imara na chadema?...
Ni watumwa kabisa haoHao wale wachache wachumia tumbo wanaangalia maslahi ya matumbo yao yao. Hakuna mtu anayejitambua anayeuza thamani ya utu wake
Hayakosagi ya kusemaYeye sijui atatoa sababu ipi
Kwa kuwa umefungwa kitambaa usoni huoni wala kusikia kisa maccm majiziAcha kujipiga moyo konde wewe. Hata kipofu anaona jinsi machadema yanavyosota waya kipindi hiki.
Chadema ndo inazidi kumairika wachumia tumbo wataondoka woteTeh mkuu mbona unaumia kusikia watanzania tupo imara na chadema? Vumilia tu mkuu chadema inapendwa hutaki jiue kununua viongozi haitasaidia kuitenga na sisi wananchi.