Ndiyo maana hayataki kabisa habari za tume huru ya uchaguziCcm hajawahi kushinda kwa haki bila kusaidia na vyombo vya usalama. Mwisho wenu unakuja
CCM haijawahi kushinda uchaguzi.bila tume ya uchaguzi ya ccm na majeshi hamuiwezi chadema nyie.Halafu 2020 mnagalagazwa vibaya.
Chakubanga sijui hata nyumbani kwake anathaminiwa na familia yakePolepole apotezwe!
Tutampoteza!Chakubanga sijui hata nyumbani kwake anathaminiwa na familia yake
Sijui ni kijana au ni mzee huyo chakubanga?Huyu ndo kinara wa kufanya hii biashara haramu
Sidhani labda babake na mamakeAna familia kweli?
Mmekalia kupika majungu tu.Wewe endelea kutetea ulaji humu tunajua njaa zinakupoza buku walikuwepo wenzako Lizaboni sijui wamefia wapi
Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.
=======
Labda kichaa kama yeyeYule sidhani anaweza kuishi na mke
Wewe unapika ujinga tu mithili ya mtu aliyetoroka milembeMmekalia kupika majungu tu.
Katoroka mirembe huyoWewe unapika ujinga tu mithili ya mtu aliyetoroka milembe