Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema inapikia ccm chakulaKwahiyo chadema inafanya biashara na ccm?
basi acheni kulalamika kama anatosha,tusubiri 2020, kwa maana hiyo 2015 hakuwepo?Hujui kua Tundulissu mmoja anatosha Sana kuwatia akili Chama kizima?
Yani kweli wanajiondoa ufahamu ila siku inakuja ushabiki huu kila mtu atauweka mfukoni na tutabaki tunatazamanaTatizo njaa imewazidia hadi wanajiondoa ufahamu
Taifa linaangamiaYani kweli wanajiondoa ufahamu ila siku inakuja ushabiki huu kila mtu atauweka mfukoni na tutabaki tunatazamana
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Wamfukuze ili mseme kaonewa?Endeleeni na biashara yenu ya utumwa!SS hebu tafakari NA ujiangalie vizuri, unakurupuka kuchangia kitu hakina uhakika, hatujaona ukweli wa Milya kuhama chama.
Hata ikiwa lina ukweli, hebu kishauri chama chako kijichunguze na kujua mambo yanaharibikia wapi, pia waanze uchunguzi wa wabunge wao wanao onyesha ishara ama nia za kuhama, na kuwachukulia hatua. Iwapo watagundua mbunge anayetia mashaka ya kuvuka daraja, basi Chadema kimfukuze yeye kabla hajachukua hatua hiyo, hilo litaleta tija NA kumharibia huyu mbunge hata kuja kupata kura atakapo ingia chama kingine.
Lakini hizi kelele na kejeli wakati wewe ndiye uliyeachwa njia panda hazina faida kwenu.
simama tu ukichoka utakaa tuWatanzania tutasimama na chadema mpaka mwisho nyie ccm endeleeni na biashara ya kununua binadamu.
pumbasimama tu ukichoka utakaa tu
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Si ushasema unataka waseme wangapi!Wewe mbona unajiuza na watu hatusemi?
Atauliwa na mungu ila tulia upate ugonjwa wa kwikwi muda wowoteKitu pekee mnachoweza kumfanya labda mumuue.
Uliwahi musikia mwenyekiti wa ccm mpambana na rushwa mwanzisha mahakama za kifisadi akizungumzia 1.5 trilion? Ujue alizipiga sasa ndo anazitumiaSwali la wapi ruzuku ya chama inaenda limekuwa gumu sana kwa mbowe .
Yupo tayari atumie mwezi mzima kuwaelezea bavicha namna ccm inavyonunua watu badala ya kutumia dakika moja kueleza kwa nini ruzuku ya chama haifiki wilayani.
HahahahaMbona mbowe kafanya biashara na lowassa hatukuona mapovu
kama sie tumenunua,na nyie si mununue~Uhuru kenyatta