Hujui kua Tundulissu mmoja anatosha Sana kuwatia akili Chama kizima?hadi raha, hao wapinzani inabidi waitishe semina na vikao vya kufundana make bika hivyo yale mabenchi ya upinzani pale bungeni atabaki tu Tundulissu.
Lissu ana akili timamu wewe? Chukueni hayo makinikia.Nasikia na lisu naye anataka kuhamia ssm
Chama kinakufa atabaki peke yake. Kuna msemo wazungu husema, if you cant fight ith them...... Join them. Nafikiri cdm ili wakwepe aibu ilombele yao wangeutumia huu msemoLissu ana akili timamu wewe? Chukueni hayo makinikia.
Nasema tena busatiBusati lina thamani kuliko suruali ya suti kama lilikuwa linakusitiri usiteleze na kuchana suruali ukaacha msamba nje.
Thamani yake ni kubwa kuliko hiyo suruali ambayo imechanika msamba inakuacha mtupu.
Busati linaweza kukusitiri usipigwe na baridi ya sakafuni ukiwa miguu tupu
Dr. Slaa alikuwa busati ambalo linamsitiri Mbowe asioneshe mapungufu yake kiuongozi. Sasa halipo mapungufu yapo wazi mbowe ana adhirika na huku baridi kali linawapiga CHADEMA miguuni kiasi wanashindwa kutembea kusonga mbele wapo wanarudi sakafuni kwenye baridi kali zaidi kama enzi za chama kikiwa kichanga.
Wewe ni sawa na matonya wa dodoma tuMatusi, dharau na kejeli hayajibu matatizo yenu. CDM inadondoka kutokona kuwa na wanazi wa aina yako, hamko tayari kuupokea ukweli, sasa kesheni mkitukana na kujiliza liza hapa ila 2020 hiyo Saccos inadondoshwa:
Wasubiri rungu kutoka kwa jehova maana yeye haogopi mahakama wala niniHapa ndipo inafikia hatua unajiuliza hivi CCM hawa wana nia njema kabisa na taifa hili
linarudi kwao[emoji23]Anahamia au anarudi ccm
Unafikiri itasaidia?Hata mataifa yanayotupa misaada ya fedha mimi nimeanza kuwadharau.
Jehova gani huyo anae shirikishwa na mitusi kama yako?Wasubiri rungu kutoka kwa jehova maana yeye haogopi mahakama wala nini
Nimesema ....JEHOVA....hutaki kajinyongeJehova gani huyo anae shirikishwa na mitusi kama yako?
Haoolinarudi kwao[emoji23]
Katika siasa watu wanasema kwamba, kama unaona mpinzani wako anakusumbua, tumia njia ya 'accommodation', yaani unamfanya awe sehemu ya chama chako. Hivyo msipagawe, mlifanya hivyo chakadema kwa kumchukua maumvi, ziro, nyarandu. Sasa ngoma inogile kwa upande wa piliWanatuchosha basi tu
Hivi unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili wako unahisi kila anaechukia kinachofanywa na ccm ni chadema hivi watanzania lini tutafufuka kifikraK
Katika siasa watu wanasema kwamba, kama unaona mpinzani wako anakusumbua, tumia njia ya 'accommodation', yaani unamfanya awe sehemu ya chama chako. Hivyo msipagawe, mlifanya hivyo chakadema kwa kumchukua maumvi, ziro, nyarandu. Sasa ngoma inogile kwa upande wa pili