SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nasema hivi Lissu ana akili timamu hawezi kujiunga na wapumbavu.Chama kinakufa atabaki peke yake. Kuna msemo wazungu husema, if you cant fight ith them...... Join them. Nafikiri cdm ili wakwepe aibu ilombele yao wangeutumia huu msemo
Mpaka 2020 watch my word tutajua mpumbavu ni naniNasema hivi Lissu ana akili timamu hawezi kujiunga na wapumbavu.
Huwezi kuelewa hili mpaka utakapoacha kutumia kishuzi kufikiri.Unafikiri itasaidia?
Chadema haina muda mchafu wa kushindana na majinga ccm.mkimaliza kununua mtaanza kumalizana wenyewe.Baada ya kuhamia CCM utasikia majibu ya upande wa pili kuwa 'hata hivyo tulikuwa mbioni kumsimamisha na kumfukuza kabisa uanachama kwa tuhuma kadha wa kadha'.
Utanyooka tuHii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Hopeless!Chadema haina muda mchafu wa kushindana na majinga ccm.mkimaliza kununua mtaanza kumalizana wenyewe.
Watanzania wanajua wananunuliwa hivi kwanini wananunuliwa lkn
Matumaini hewa!!!!!Utanyooka tu
Unakuwaje na chama ambacho watu wake wananunuliwa ss wakipewa nchi wanauzaNikweli. .
Hawana akili
Kamuulize Jakubanga na Baba yake kwamba plan yao ni nini ewe shabiki....Unakuwaje na chama ambacho watu wake wananunuliwa ss wakipewa nchi wanauza
waache wale matapishi yao
Kweli kabisawaache wale matapishi yao
umefika wakati nawaona wanasiasa kuwa hakuna mwenye dhamira ya kweli kutupiganiaKweli kabisa
Sana na wametudharau kupita kiasi😗ila hawa wanasiasa wametudharau sana sisi wananchi
Ona sasa ulivyokuwa mpumbavu na lugha za kilofa lofa. Hapo ndio unajiona mjanjaa. Ha ha ha.Huwezi kuelewa hili mpaka utakapoacha kutumia kishuzi kufikiri.
Watanzania tutasimama na chadema mpaka mwisho nyie ccm endeleeni na biashara ya kununua binadamu.Mbona mbowe kafanya biashara na lowassa hatukuona mapovu
kama sie tumenunua,na nyie si mununue~Uhuru kenyatta
Labda watanzania wa ufipa, hapo nitakuelewa.Watanzania tutasimama na chadema mpaka mwisho...