ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Poleni, hao bibi zako sijui kama watapelekewa mwili maskiniNdassa ana undugu na mamangu basi kule kwa bibi akienda ilikua zinaangushwa mbuzi na bia za kutosha vibaya sana .dah rip !leo ni vilio tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni, hao bibi zako sijui kama watapelekewa mwili maskiniNdassa ana undugu na mamangu basi kule kwa bibi akienda ilikua zinaangushwa mbuzi na bia za kutosha vibaya sana .dah rip !leo ni vilio tu
Labda wanajiamini sana
Ukweli ndio huo, ukiangalia thread za nyuma utaona jinsi watu walivyo shauri wabunge wapimwe kama njia ya kuzuia kuenea kwa huu ugonjwa.
Mungu wetu yupo na anajua ameumba viumbe ambao ni dhaifu,wana mapungufu huu sio wakati wa kukata tamaa mpendwa.Mungu hawezi kuliangalia Taifa ambalo halichukui hatua stahiki!
usikute spika anasuburi Rais amtake aachane na vikao vya bunge
Afya yenyewe hiyo ya kutembea na mabetiriiMzalendo namba moja Mungu yuko nae. Kipindi mlifurahi lakinai malaika wakamlinda.
jamaa jeuri na mbishi sn halafu afya yenyewe yakufungia na kamba ya mgombaAisee!! Ndugai hachomoki hapa..
Inasikitisha sana hata hawa tunaoamini ni wasomi waelimishe wakina sisi bado wanafanya makosa.
Samahani lakini ukweli ni kwamba unastahili kuitwa zezeta. Mambo ya U-ccm yanahusiana vipi na vifo???
Kama huwezi kuomboleza ni bora kupotezea tu.
Hujanielewa! Soma kwanza hii aya ya quran huenda ukanielewa![emoji116]Mungu wetu yupo na anajua ameumba viumbe ambao ni dhaifu,wana mapungufu huu sio wakati wa kukata tamaa mpendwa.
Nyingine ni ipi?supika ama?
Shukrani nimekuelewa mkuuHujanielewa! Soma kwanza hii aya ya quran huenda ukanielewa![emoji116] View attachment 1434436
Hakuna cha kulaumu mbona sisi tumemchagua muhutu kuliongoza taifaWasukuma tuna tia aibu sana nahisi ndo kanda inayoongoza kwa kua na wabunge wengi waarabu,wahindi sijui why hatuwaamini watoto wetu
RIPRichard Ndasa..