TANZIA Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa akutwa amefariki hotelini Dodoma. Rais Magufuli atuma salaam za rambirambi

TANZIA Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa akutwa amefariki hotelini Dodoma. Rais Magufuli atuma salaam za rambirambi

Status
Not open for further replies.
Mungu haziakiwi kiasi tulichofikia hasa watu went dhamna kushindwa kutunusuru raia wao, Hawa wabunge wameshauliwa Sana kuhusu Corona, mch msigwa alisema, zitto alisema,mbowe,halima lkn hawakupata uungwaji mkono kwasababu ya itikadi tu.

Leo mungu kaamua kuanza nao kutoa fundisho kwao kuwa hawatendi hak. Ameamua kuonyesha hasira zake kwa viongozi, bunge ndio jicho la Nchi likishindwa kutoa maamzii sahihi juu ya raia haya ndiyo matokeo yake mungu amechukizwa.

Huwezi ukawa na akili ya kununua ndege ukakosa akili ya kuamua kuliaha watu wako ili wasipatwa na umauti.

Tuzidi kujifukiza na kuomba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom