TANZIA Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa akutwa amefariki hotelini Dodoma. Rais Magufuli atuma salaam za rambirambi

Status
Not open for further replies.
Nakumbuka nilipokuwa kinda, kuna methali nilifundishwa ikisema " mficha maradhi kifo kitamuumbua" sasa jamaa anaficha maradhi yanayotukabili, tutegemee vifo vitaliandama taifa, na sababu ziko wazi.
 
Maskini. Inauma wanajifukiza na wanakufa. Wataondoka wengi.
 
Zamu yake tayari, Je zamu yako na yangu,?

Mungu anawagiza watu wote Watubu na kurejea kwake wangali wakiwa hai bado

RIP Mh ndassa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…