ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni zikikaribia ndy anajisogeza sumve[emoji23][emoji23][emoji23]Alikua chapombe mzuri sana...dah rip
Imewavuruga kweli kweli hawajui wapi pa kutafutia Kiki, round hii tutazungumza lugha moja na uzuri hakuna kwenda India wala Pakistan kutibiwaHii Corona imefanya Wapinzani wapumzike na usumbufu wa Police na kejeli za akina Polepole
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampeni zikikaribia ndy anajisogeza sumve[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini. Inauma wanajifukiza na wanakufa. Wataondoka wengi.View attachment 1434416
Kwa mujibu wa mbunge Godbles Lema na Waziri Kigwangalla ni kuwa mbunge wa Sumve Richard Ndassa amefariki dunia mapema leo.
Aidha taarifa zinasema kuwa Ndassa amefikwa na umauti baada ya kuanguka ghafla ndani ya viwanja vya bunge leo.
Inadaiwa pia kuwa ndani ya hoteli aliyokuwa akiishi kumepatikana vifaa vya kujifukiza.
Mbunge wa Sumve Mwanza.Mbunge RICHARD NDASA , Mbunge wa KWIMBA CCM amefariki DODOMA HOTEL leo
Na wao hufaSikujua Kama CCM nao wanapata CORONA maana kila nikiangalia Yale mapambio yao nabaki kuwasikitikia wasio CCM maana nilidhani wao TU ndio walengwa wa CORONA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nilikuwa natumia freebasics i.ebd niweke bando kabisaNgoja nimtume dogo alete vocha niunge bando la nguvu nifuatilie mtifuane wa hoja
Hivi MATAGA ni nini?Tulieni MATAGA,
Milifikiri corona ipo na utabagua uwauwe wapinzani
Tunashukuru Mungu imeanza na ninyi