Unakimbilia wapi?? Au ndo kua wa kwanza kuripoti??
Wazito kwa nje lakini ndani wepesi sana
Ni kweli hats kigwangala kapost huko instagramKuna tetesi kuwa unadanganya.
ushasema weweMtasema Corona wakati taarifa haijatolewa
Huyu Kigogo anastahili atangazwe rasmi kabisa kuwa ndiye msemaji wa mambo ya kitaifa maana serikali imetuacha kama watoto wa bata...kila mtu kujiokotea kinacholika na kisichilika.Kigogo amesema ni Mbunge wa Sumve; Richard Ndassa, tena anadai amepata taarifa toka ofisi ya Spika.
Sent using Jamii Forums mobile app