sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Ruzuku itazidi kupungua pia..Usisahau kuwa kura na idadi ya wabunge wa kuchaguliwa wa Chadema imepungua pia, nadhani wenye fursa ya kuongeza mbunge wa viti maalumu watakuwa CCM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruzuku itazidi kupungua pia..Usisahau kuwa kura na idadi ya wabunge wa kuchaguliwa wa Chadema imepungua pia, nadhani wenye fursa ya kuongeza mbunge wa viti maalumu watakuwa CCM!
Wakati kukiwa chama kimoja walikua wamelala au wameamka, au watanzania wanapenda kusinzia...wanahamahama kama wasukuma na wamasai...hayo ni matusi kwa wazazi wako....babaaakooooMtu kuhama chama siyo dhambi ni haki yake ya kidemokrasia. Sasa hili povu lote linalokutoka sijui ni la nini? Na kwa taarifa yako hapa watanzania ndo wameamka ndo maana wanawakimbia kila siku. Wamechoka na ulaghai na ubabaishaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, kama ni hivyo utakuwa sahihi!Sina uhakika na hilo, ila nijuavyo wabunge wa viti maalum wanapatikana kwa uwiano wa uwingi wa kura za waliogombea urais
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wa DC?!Jesika Kishoa Kafulila?!
Ndio, huo ni mkutano na waandishi wa habari!
Acha kujidanganya ndugu. Jibu ni rahisi sana, ukiacha itikadi na mambo mengine siasa ni ajira pia. Wapo wabunge wengi wa Viti Maalum wanaotaka kuhama upinzani lakini wanashindwa kutokana na kuangalia mustakabali wa maisha yao baada ya kuacha ubunge. Tofauti na wabunge wa majimbo ambao wao wanauhakika wa kutetea majimbo yao na kurudi bungeni.Wameamua kusawazisha kuwa na wa viti maalum pia wanaunga mkono baada ya watu kuhoji mbona wabunge wa kuchaguliwa tu ndio wanaunga mkono juhudi.
Sitashangaa sasa nikisikia na wa Zenji akiunga mkono juhudi.
Kwa hiyo ni biashara unakiri wanafanya!Acha kujidanganya ndugu. Jibu ni rahisi sana, ukiacha itikadi na mambo mengine siasa ni ajira pia. Wapo wabunge wengi wa Viti Maalum wanaotaka kuhama upinzani lakini wanashindwa kutokana na kuangalia mustakabali wa maisha yao baada ya kuacha ubunge. Tofauti na wabunge wa majimbo ambao wao wanauhakika wa kutetea majimbo yao na kurudi bungeni.
Fukuto la migogoro linaloendelea upinzani (ruzuku na Uongozi) limewafanya wabunge wengi kutaka kutoka/kuhama na hivyo kufanya kazi ya CCM kuwa rahisi sana, nayo ni kuwahakikishia nafasi zao za ubunge tu. Ndo maana unaona wabunge wengi wa majimbo ndiyo wanaohama kuliko viti maalum.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujipe moyo tu.Hakuna jipya, huyo sio wa kwanza na hiyo sio habari ya kushtua tena, fanyeni nnavyotaka maana watanzania wamelala usingizi wa pono, siku wakishtuka mtatamani ardhi ipasuke muingie ni suala la muda tu.
Unamaanisha nini mkuu!? Unataka kuuwa demokrasia? Au hufahamu demokrasia ni kitu gani na huwa mnaimba kila siku bila kuelewa mnaimba nini boss wangu? Hamahama hii ndiyo demokrasia yenyewe. Vinginevyo unataka kuiuwa. Au kuhama ahame Mzee Sumaye kuja CDM au Nyarandu wengine wakihama ni tatizo? Acheni watu wa practice democracy na msiwe wepesi wa kulaumu. Vyama vyetu hivi vya upinzani havina demokrasia huko ndani na havifai. Huku kwengine watu wana uhuru wa kufanya na kusema chochote. Ndiyo maana unawaona vijana kama Nape na wenzie wako huru kuzungumza. Ukijaribu huko kwenyu kumsema mwenyekiti tuu kesho watakukuta mtaroni roho imeacha mwili.Hakuna jipya, huyo sio wa kwanza na hiyo sio habari ya kushtua tena, fanyeni nnavyotaka maana watanzania wamelala usingizi wa pono, siku wakishtuka mtatamani ardhi ipasuke muingie ni suala la muda tu.
Mzee Lowasa, Mzee Sumaye ma Nyarandu mliwanunuwa kwa kiasi gani?Ununuzi wa binaadamu ", continued
Yaani wanateseka wenzao wanachangamkia fursa wao mapovu yanawatoka kweli...ila roho yauma poleni wapenda vyama vyenu hiyo Kazi kama Kazi yako ukiona hapo hapana masilahi unatafuta masilahi zaid kwingine usihuzunike watapatina wengine wazuri endelea kupenda chama chako sasa ni furaha hiyo na wewe jitose huko nafasi zinapatikana wewe unanuna badala uchangamkie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa....... Ufipa hapakaliki!Yaani wanateseka wenzao wanachangamkia fursa wao mapovu yanawatoka kweli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Indeed walahi uwiii!Hahahaa....... Ufipa hapakaliki!