Tetesi: Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA kuhamia CCM leo saa 5.30 pale Lumumba!

Tetesi: Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA kuhamia CCM leo saa 5.30 pale Lumumba!

Status
Not open for further replies.
Huna hata akili kidogo ya kukutosha kusukutua huo mdomo na akili kabla ya kuandika huu upupu
kwani aliyoaandika siyo ya kweli..tuambie ukweli unaoujua basi..usiharishe hapa mambo usiyoyajua..
 
Wameamua kusawazisha kuwa na wa viti maalum pia wanaunga mkono baada ya watu kuhoji mbona wabunge wa kuchaguliwa tu ndio wanaunga mkono juhudi.
Sitashangaa sasa nikisikia na wa Zenji akiunga mkono juhudi.
Pesa inayotumika kuwanunua wabunge na kurudia chaguzi ni pesa ambazo zingetumika kujenga Nyumba za watumishi wa umma Dodoma ambao wanataabika kwa kukosa makazi ya uhakika ya kuishi.
 
Wameamua kusawazisha kuwa na wa viti maalum pia wanaunga mkono baada ya watu kuhoji mbona wabunge wa kuchaguliwa tu ndio wanaunga mkono juhudi.
Sitashangaa sasa nikisikia na wa Zenji akiunga mkono juhudi.
Wazenji hawawezi kufanya ujinga huu unaoendelea Bara .............!!

Ikitokea Mzenji akaunga juhudi basi nitasema Shikamoo JPM...!!
 
Uzuri wa hapo, hakuna UCHAGUZI!
Wawachukue hata wote hao wa viti maalumu.
Ninachoshangazwa, ni huyo POLEPOLE. Hana kazi nyingine ya kukieneza Chama, ni kushughurika na manunuzi tu?
Kwenye ununuzi si unajua kuna 10% faida wanavuna pesa kibwerere pia, wakimnunua mtu huwapa kitu kidogo na upande wao huongeza Dau ni biashara nzuri wanavuna pesa kiulaini ni mladi wa wajanja Fulani.
 
Bado raia wana imani na Mbowe, Mbowe&co anatumia wingi wa wajinga wa Ufipa kupiga hela za ruzuku...

Hapa wenye akili wamesha washtukizia wanaanza kukikimbia chama
 
Wazenji hawawezi kufanya ujinga huu unaoendelea Bara .............!!

Ikitokea Mzenji akaunga juhudi basi nitasema Shikamoo JPM...!!
ifike mahali wabunge wa Upinzani wawe wanalishwa Yamini ili wakihama kihuni huni kama waitara laana ya wapiga kura inawadaka na kuwa mazezeta.
 
Bado raia wana imani na Mbowe, Mbowe&co anatumia wingi wa wajinga wa Ufipa kupiga hela za ruzuku...

Hapa wenye akili wamesha washtukizia wanaanza kukikimbia chama
Pesa ya luzuku ya CCM ndiyo inapigwa sana wewe mjanja wa huko CCM mbona huoni? au umekalia umbea wa kukariri kwa upinzani? Anza huko kwenu kwanza ndipo uendeleze propaganda kwa chadema, Pesa inayotumika kuwanunua wapinzani ingekuwa inatumika kuleta maendeleo leo hii Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa.
 
Sasa viti maalum akihama si anapoteza zaidi au ndo ukuu wa wilata
Katibu tawala, ukurugenzi, ubalozi kama mtatiro anavyoandaliwa sasa, vipo vyeo vingi vya kuwazadia wabunge njaa.
 
Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Pole pole ambapo Katibu mkuu wa uwt atakuwa na mkutano na waandishi wa habari pale lumumba. Nyepesi nyepesi zinadai mbunge huyo anatokea mkoa wa Singida. Habari hii imeripotiwa pia na kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds tv!
Jesca Kishoa
 
Ha ha inashangaza kweli, nikimuangalia waitara ndio inabidi nicheke, kama anadhani kwa namna yoyote ile 2020 atapita kwenye kura za maoni CCM basi akili yake haiko sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom