ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Na wameona mbali walahi!Yaani wanateseka wenzao wanachangamkia fursa wao mapovu yanawatoka kweli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wameona mbali walahi!Yaani wanateseka wenzao wanachangamkia fursa wao mapovu yanawatoka kweli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa ameshalipwa stahiki zake zote na kiinua mgongo, watanzania tumepatikana!huyu atapewa wilaya au nafasi ya DED
fomula imeshaharibika,chadema haipo monduli,buyungu na sihaHiyo itakuwa faida kwa mtu mwingine, kwani nafasi yake bungeni inaenda kujazwa na wa chama hicho hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya binadamu inalipa sana, sema siku hizi binadamu wanajiuza wenyewe tofauti na zamani.Ununuzi wa binaadamu ", continued
Bavicha wamekariri mkuu!fomula imeshaharibika,chadema haipo monduli,buyungu na siha
Umenikumbusha Lowassa 2015!Biashara ya binadamu inalipa sana, sema siku hizi binadamu wanajiuza wenyewe tofauti na zamani.
Vipi unataka upewe wewe viti maalumAtapewa kiti maalum CCM?
Mimi sipewi viti maalum. Sina nia wala sifa. Kwanza si mkazi wa Tanzania sasa hivyo viti maalum nitavifanyia nini?Vipi unataka upewe wewe viti maalum
Huna hata akili kidogo ya kukutosha kusukutua huo mdomo na akili kabla ya kuandika huu upupuMtu kuhama chama siyo dhambi ni haki yake ya kidemokrasia. Sasa hili povu lote linalokutoka sijui ni la nini? Na kwa taarifa yako hapa watanzania ndo wameamka ndo maana wanawakimbia kila siku. Wamechoka na ulaghai na ubabaishaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
hehheheehehe aliyelala usingizi wa pono.ni wewe peke yako..nakwambia watanzania wapo macho na kila kinachoendelea..usiwasemee watu kamanda utaumbuka..nyie kaeni na mafisadi yenu..wananchi wameshawashtukia ..si umeona hata ripoti ya CAG imesema.ufisadi uliofanyika chama chenu..mnapiga hela kwa.kwenda mbele..kamanda mko safi..Hakuna jipya, huyo sio wa kwanza na hiyo sio habari ya kushtua tena, fanyeni nnavyotaka maana watanzania wamelala usingizi wa pono, siku wakishtuka mtatamani ardhi ipasuke muingie ni suala la muda tu.
Hakika mkuu!hehheheehehe aliyelala usingizi wa pono.ni wewe peke yako..nakwambia watanzania wapo macho na kila kinachoendelea..usiwasemee watu kamanda utaumbuka..nyie kaeni na mafisadi yenu