Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

Mtangazaji wa WASAFI FM na Kada wa CCM Maulid Kitenge amedaiwa kufunga ndoa na mbunge wa viti Maalum ( Chadema) mh Nusrat Henje

Hongereni maharusi

Siasa siyo Uadui

Source Jambo TV

Nawatakia Dominica njemaπŸ˜‚
Siasa sio uadui kwa watu wenye Akili nzuri !
Lakini kwa wale mburula vilaza wenye kushikiliwa Akili zao na Yule anayewapa pesa ya siku ya kula hawawezi kukuelewa !!
Na kwa bahati mbaya hao ndio wapo kila penye ofisi ya Chama wakicheza draft na karata mchana kutwa wakisubiri dili la kwenda kudhuru au kumtukana mbaya wao. !
Hatar sana. πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…