Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
TuliaUdikteta 2013 ππππ₯π₯π₯
Mkewe mkubwa ni BaloziHuyu jamaa mkewe mkubwa si yule mtangazaji wa tbc Eshe Muhidini?
Sisi wa Namanyere ndiyo umetuona washamba sana?Picha mkuu tuliopo namanyere hatuwafahamu.
Huyu ajuza ndiyo mrembo?View attachment 2943380Huyu si chadema tena
Balozi wa nyumba 10?Mkewe mkubwa ni Balozi
Ackson πππTulia
Hatari snSiasa sio uadui kwa watu wenye Akili nzuri !
Lakini kwa wale mburula vilaza wenye kushikiliwa Akili zao na Yule anayewapa pesa ya siku ya kula hawawezi kukuelewa !!
Na kwa bahati mbaya hao ndio wapo kila penye ofisi ya Chama wakicheza draft na karata mchana kutwa wakisubiri dili la kwenda kudhuru au kumtukana mbaya wao. !
Hatar sana. π π ππ
Mko naye UWTAckson πππ
Wanasiasa masilahi wapo kibao pande zote mbili !View attachment 2943380Huyu si chadema tena
Tuko naye Bazecha πππMko naye UWT
Umetoka lini UWT?Tuko naye Bazecha πππ
Ile housing tu ndiyo imepigwa putty na kupakwa rangi lakini millage six digits.Kumbe used,nilijua jamaa anatoa nylon mwenyewe.
UWT na Bazecha ni wamoja π₯Umetoka lini UWT?
Kuna mmoja alishatimka kitambo tu.Siyo mke namba 4 huyu?
Sasa wewe CHIEF PRIEST, mbona umepigwa ban lkn bado unachangia mada?? Inawezekanaje hii?Nusrat Hanje ni mbunge wa spika,Chadema haina mbunge wa viti maalum.
πππSasa wewe CHIEF PRIEST, mbona umepigwa ban lkn bado unachangia mada?? Inawezekanaje hii?