CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ukiona hivyo ujue hiyo ban ni uonevu na kwa kuwa mimi ni kuhani mkuu wa mizimu ya kwetu ndiyo maana ban haiko active.Sasa wewe CHIEF PRIEST, mbona umepigwa ban lkn bado unachangia mada?? Inawezekanaje hii?
Hata Twaha Mwaipaya hakumchukulia serious 😂😂🔥Wakati hyu dada hajipigi sopsop
Watu walikuwa hawamuoni,alivyoingia ubunge na kuanza kungaa wamemuona
Ova
Twaha alibutua ile ya kikamanda kamandaHata Twaha Mwaipaya hakumchukulia serious [emoji23][emoji23][emoji91]
Nipo huku pia mkuu simjui huyo kitenge ndio nani.Sisi wa Namanyere ndiyo umetuona washamba sana?
Ndio boss wa Baba Levo na ZembwelaNipo huku pia mkuu simjui huyo kitenge ndio nani.
Walikuwa harusiniWasafi radio kulikoni? Tabora haisikiki takriban mwezi sasa!!
Mjini shule dadeki 😂Kitenge anajuwa kulenga 😄
Ova
Mzee wa Slope,anajua kibubu kinavunjwa mwakani kudadadadeqKitenge anajuwa kulenga [emoji1]
Ova
🤣 🤣 🤣Una maana ni mchicha mwiba?
Ndoa ya jinsia mojaKitenge sasa ni shemeji yenu
Yes, mke wake wa kwanza alimuoa kitambo ila wakachana, ni yule dada/mama mtangazaji wa tbc, kabla hawajaachana na huyu dada aliongeza mke wa pili around 2005 naona pia akaachana nae.kitenge ana wake wa 4 kitambo sana. since yupo itv. Huyu kama sio wa 6 au 7. hivi. kuna alot of rumours about afya ya kitenge pia.. I think hii inaweza ikawa ndo push maker ya ndoa. since huyu mama alikuwa dodoma kuna raia wameishi nae sana. since she is very out going. sema i shouldn't say much. ndoa ni ndoa. we close the chapter.
ndio alikuwa mke wake wa kwanza ila walishaachana kitambo.Huyu jamaa mkewe mkubwa si yule mtangazaji wa tbc Eshe Muhidini?
Mwamba Marioo flani hivi wakiutu uzima, anajua sana kujidondeshea kwenye 18Alizidiwa na Bashiru,naona Bashiru kaburuza hadi kakinai kamuachia mzee wa mipira iliyokufa naye akahangaike nalo.
bashiru nae alikuwa sidelined kitambo. kuna raia wa kawaida tuAlizidiwa na Bashiru,naona Bashiru kaburuza hadi kakinai kamuachia mzee wa mipira iliyokufa naye akahangaike nalo.