Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

Yes, mke wake wa kwanza alimuoa kitambo ila wakachana, ni yule dada/mama mtangazaji wa tbc, kabla hawajaachana na huyu dada aliongeza mke wa pili around 2005 naona pia akaachana nae.

wanasema afya yake haiko sawa? ana moto? au wanamzushia kwasababu anafanya sana mazoezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…