TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

TANZIA Mbunge wa zamani, Nimrod Mkono amefariki dunia nchini Marekani

Namkumbuka sana Mzee Nimrod Mkono na MaRange na MaVogue yake! Ndiyo Matajiri wa Mwanzoni Kutembelea Range Sports!
Busegwe ndio yalikuwa makao makuu ya Wasabato Tanzania ndio kijijini kwa Nimrod Mkono, palikuwa na airstrip hapo Busegwe na Nimrod Mkono alikuwa na jeuri ya kupark ndege yake binafsi hapo.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.

Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.

“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”

“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”

View attachment 2592241
Raha ya Milele umpe E Bwana na mwanga wa Milele umuangazie, Apumzike Kwa amani. Amina [emoji120]
 
Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.

Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.

“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”

“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”

View attachment 2592241
Msiba mwingine mzito kwa Wasegwe.Bado haijapita wiki mbili toka kufariki kwa msegwe mwingine Prof ,Dr na Major General Koh.Mwamba mwingine ,na msegwe pia,Sasa mbunge na mwanasheria maarufu
na tajiri ,Mkono Nimorood amefariki pia.Mungu wafariji wasegwe wote wazanaki,na watu wote wa mkoa wa Mara.NB.Wasegwe ni watu wakijiji cha Busegwe kilichopo karibu na kijiji cha Butihama.Ni Kijiji cha mtemi Ihunyo.Ni Kijiji kilichojaliwa kuwa na watu ,wenye vipajj vya Hali ya juuu sana.
 
Busegwe ndio yalikuwa makao makuu ya Wasabato Tanzania ndio kijijini kwa Nimrod Mkono, palikuwa na airstrip hapo Busegwe na Nimrod Mkono alikuwa na jeuri ya kupark ndege yake binafsi hapo.

Jamaa alikuwa na Mpunga sana ,mwaka 2006 UDSM kulitokea mgomo wanafunzi walikosa "BUMU" kutokana na changamoto za kuanzishwa kwa HESLB(Bodi ya Mikopo) ikabidi jamaa azame kwenye account yake akalipa Bs kwa wanafunzi then serikali ikaja kumrefund baadae.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.

Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.

“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”

“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”

View attachment 2592241
Kamfuata rafiki yake Dr Kohi
 
Back
Top Bottom