Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hamna loloteAisee, wana uhusiano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna loloteAisee, wana uhusiano?
He was deadHivi masumbuko Lamwai yupo wapi?
Mzee wa vijisentiKuna huyu na kuna Andrew Chengge, hawa watu hawa.., acheni tu
Tena anavuta kitu brand new syo reconditionedNamkumbuka sana Mzee Nimrod Mkono na MaRange na MaVogue yake! Ndiyo Matajiri wa Mwanzoni Kutembelea Range Sports!
Acheni uzushi, Mkono hajarudi Tanzania tangu 2018 huo ubunge kwenye uchaguzi wa dhulma za Magufuli aligombea SAA ngapi?Bado ni Mbunge? Duh ila CCM buana?!
both the same age they have big exposureKuna huyu na kuna Andrew Chengge, hawa watu hawa.., acheni tu
Busegwe ndio yalikuwa makao makuu ya Wasabato Tanzania ndio kijijini kwa Nimrod Mkono, palikuwa na airstrip hapo Busegwe na Nimrod Mkono alikuwa na jeuri ya kupark ndege yake binafsi hapo.Namkumbuka sana Mzee Nimrod Mkono na MaRange na MaVogue yake! Ndiyo Matajiri wa Mwanzoni Kutembelea Range Sports!
ndio mrembo dahIla maisha!!!
ndio ataenda kuuleta mwili wa Marehem Marekani akishirikiana na Hendrew ChengeWasira yupo wap??
Raha ya Milele umpe E Bwana na mwanga wa Milele umuangazie, Apumzike Kwa amani. Amina [emoji120]Aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.
Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.
“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”
“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”
View attachment 2592241
Msiba mwingine mzito kwa Wasegwe.Bado haijapita wiki mbili toka kufariki kwa msegwe mwingine Prof ,Dr na Major General Koh.Mwamba mwingine ,na msegwe pia,Sasa mbunge na mwanasheria maarufuAliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.
Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.
“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”
“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”
View attachment 2592241
Busegwe ndio yalikuwa makao makuu ya Wasabato Tanzania ndio kijijini kwa Nimrod Mkono, palikuwa na airstrip hapo Busegwe na Nimrod Mkono alikuwa na jeuri ya kupark ndege yake binafsi hapo.
Ni ukumbusho kwa walio hai...ndio maana tunajadili hapa...Naamini sawa na wewe kwamba matendo yatampeleka mtu anakostahili, swali ni: Kuna sababu gani ya kuyasema?
Kamfuata rafiki yake Dr KohiAliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini na Butiama na pia Wakili maarufu Nchini Nimrod Mkono amefariki asubuhi ya leo kwa saa za Marekani.
Akiongea na @ayotv_ kwa njia ya simu Mdogo wa Marehemu, Zadock Mkono amethibitisha kutokea kifo cha Kaka yake.
“Nimepewa taarifa na Shemeji (Mke wa Wakili Mkono) kwamba Mzee amefariki nimempigia Shemeji alikuwa analia tu ameshindwa kuongea vizuri, Mzee aliondoka Tanzania tangu mwaka 2018 akaelekea Marekani kwa matibabu kwasababu alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kusahausahau, kumbukumbu zilikuwa zinapotea”
“Mimi nipo Tanzania kwa sasa ninachoweza kuthibitisha ni kwamba kweli amefariki taarifa zaidi za kama alikuwa anaugua ugonjwa mwingine na kama alikuwa Hospitali au amefariki ghafla hizo bado sijajua, nitawapa taarifa zaidi baadaye”
View attachment 2592241
ilikuwaje mkuu back ground? hivi ni kweli Mbowe alinusuriwa na Nimrod Mkono?Wakati aliwahi kuokoa maisha ya Mbowe na Zitto (akiwa chadema), walipo taka kupigwa huko Musoma walipo enda kumzika Chacha Wangwe.