Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Mzee pitbull ashawahi ku
Kukugeuka nini?
 
Boerbol vipi?
 
Masai walikuwa zamani. Siku hizi ni wataalamu wa kuchora michoro na kuwapa ramani wezi. Utakuta nyumba inavamiwa na masai wako kafungwa kamba mikononi kama geresha tu.
Au mlinzi akiondoka au kuacha kazi Ni rahisi kuchorea ramani wezi kwasababu mazingira ya nyumba yako anayajua
 
Afrika ni zero brain,badala wapige risasi za usingizi kisha wachunguze kwa nini wamebadilika ghafla-wao wanaua.
Waliosema akili ni mali hawakubahatisha-kwa kweli.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Boerbol wana mikia mifupi huyo mbona ana mkia mrefu
 
Vyakula vipi....inasemekana wana vyakula vyao special ...hawali pumba na dagaa hao....ukiwaletea pumba wanakasirika[emoji3][emoji3] hawapendi shida
 
Yanii nikae na kitu chenye garama kuliko hata nikiongeza mke wa pili hizo mambo siwez asee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mbwa anahitaji nyama kilo tano....mzee endelea kufuga tu wa kawaida Hawa wakina bobi mgeni akipiga hodi wanabweka huku wamefyata mkia
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tufuge tu Hawa wakina bobi wa kawaida
 
Umeambiwa huwa wanawapaga chakula it means wameshachangamana nao. Mbona watu wengine mnakuwa na vichwa vizito kuelewa, unatetea vitu ambavyo ni hatari.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hahahaaa.....mzee hawapendi sana Hawa mbwa
 
Sena GS wana maumbo madogo
 
Alivotoka akayaua yote
 
Uislamu unasemaje kuhusu kufuga mbwa...Hivi si marufuku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…