The king9999
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 384
- 937
- Thread starter
- #81
kana swaumu , naona chungu cha leo kilikua kikali, vp mpe location nimwambie aje afuturuHuyu mbwa anakula kweli? Mbn kama yupo ktk mfungo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kana swaumu , naona chungu cha leo kilikua kikali, vp mpe location nimwambie aje afuturuHuyu mbwa anakula kweli? Mbn kama yupo ktk mfungo..
hapana mkuu , huyu sio kama wale pitbulls vichwa maji, huyu ni kwa ajili ya mapambo , sio specific kwa kaz za ulinziHao mbwa siyo wale wakichukia wanakurarua?
yanga ana uhusiano upi na mbwa wanguYANGA anatesekaaa hukoo mmh
anapambani Sana mfugo wake uuzike.😆Mimi hapa ndio zinaniua mbavu na giza lote hili 😆😆😆😆😆😆. Mtoa mada anakwepa mishale kadri awezavyo
Huyo mbwa atafia kwa mnunuaji.. ni vyema ukampa lishe nzr kwanza maana hayo manyoya hayakosi kunguni piakana swaumu , naona chungu cha leo kilikua kikali, vp mpe location nimwambie aje afuturu
Hivyo vimbwa vya maabara kwa ajili ya urembo havina madharaHao mbwa siyo wale wakichukia wanakurarua?
mkuu nauza mbwa sio mkanda , basi kama na mkanda umeuelewa leta 305kMbwa kafungwa mkanda wa suruali🤣🤣
sasa nimemuokota ulitaka nimfunge nini kwa muda huo?Mbwa ana stress hivi kama analipa kodi unamlisha kweli huyu? Huo mkanda uliomfunga shingoni wenyewe unamzidia uzito
kiafya yuko fit , .. sasa mkuu kunguni na mbwa wapi na wapi , au we mwenzangu wakishua hujui makazi ya kunguniHuyo mbwa atafia kwa mnunuaji.. ni vyema ukampa lishe nzr kwanza maana hayo manyoya hayakosi kunguni pia
Mbwa, anauza mbwa!... Kweli mbwa kala dogi! 🐕picha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
ndio maana nataka nimuuze coz nimemuokota , najua kumuhudumia sitawezaChihuahua ila kachoka sana wa manzese uwanja wa fisi.
Hao mbwa wa kitajiri,sio unakaa nae anakula mifupa ya samaki.
Mbwa, anauza mbwa!... Kweli mbwa kala dogi! 🐕
Umenielewa hapo!? Samahani lakini!
Mbwa anatesrka huyu sidhani kama anaijua pedigree ungemgawa bure tu kwa tajiri akamhudumie!!picha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
kama unaona anastress bas mpe serengeti lite au vant azimue , atakua sawa tuuMbwa ana stress hivi kama analipa kodi unamlisha kweli huyu? Huo mkanda uliomfunga shingoni wenyewe unamzidia uzito
mkuu mbwa hateseki , hajazoea tuu mazingira ya uswahilini, kakulia ushuani huyoMbwa anatesrka huyu sidhani kama anaijua pedigree ungemgawa bure tu kwa tajiri akamhudumie!!
Kiukweli hata mm nimecheka sana na kusikitika kwa wakat mmoja yani mtoa mada kamuokota mbwa wawatu anataka atajirikie humo na ukute hata hajamhudumia mbwa kwa chchte ktu zaidi ya mabaki ya msosi wake anaokula kwa shemeji yake me ningemshauri tu ampe tu mtu anayeweza kumtunza vzuri uyo mbwa, jamaa linaonekana hata halina mapenzi na mbwa uyo sema bc tu linawaza maokoto ningekua karibu yake ningemchapa fimbo nyingi mnoMimi hapa ndio zinaniua mbavu na giza lote hili 😆😆😆😆😆😆. Mtoa mada anakwepa mishale kadri awezavyo