Mbwa anauzwa 300k

Mbwa anauzwa 300k

Mbwa, anauza mbwa!... Kweli mbwa kala dogi! 🐕

Umenielewa hapo!? Samahani lakini!
IMG_20240327_165211.jpg
 
Mimi hapa ndio zinaniua mbavu na giza lote hili 😆😆😆😆😆😆. Mtoa mada anakwepa mishale kadri awezavyo
Kiukweli hata mm nimecheka sana na kusikitika kwa wakat mmoja yani mtoa mada kamuokota mbwa wawatu anataka atajirikie humo na ukute hata hajamhudumia mbwa kwa chchte ktu zaidi ya mabaki ya msosi wake anaokula kwa shemeji yake me ningemshauri tu ampe tu mtu anayeweza kumtunza vzuri uyo mbwa, jamaa linaonekana hata halina mapenzi na mbwa uyo sema bc tu linawaza maokoto ningekua karibu yake ningemchapa fimbo nyingi mno
 
Back
Top Bottom