Mbwa anauzwa 300k

Mbwa anauzwa 300k

Kiukweli hata mm nimecheka sana na kusikitika kwa wakat mmoja yani mtoa mada kamuokota mbwa wawatu anataka atajirikie humo na ukute hata hajamhudumia mbwa kwa chchte ktu zaidi ya mabaki ya msosi wake anaokula kwa shemeji yake me ningemshauri tu ampe tu mtu anayeweza kumtunza vzuri uyo mbwa, jamaa linaonekana hata halina mapenzi na mbwa uyo sema bc tu linawaza maokoto ningekua karibu yake ningemchapa fimbo nyingi mno
mkuu, mnunue umpelekee manzi ako uone atakavyompenda mbwa kuliko wew, inshort wanunuzi ni wadada wakishua ,
 
sasa umeanza kutema pumba mkuu, au uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo ?
Hapana umezidi... Bado sana hapo. Hako kambwa kamebeba minyoo na ni gharama sana kukarudisha kakae kama ka mbwa maana mpaka kamedumaa. So ni bora akagawe na ampe ambaye atakachukua some cash kukahudumia.
 
sina uzoefu sana na jamii za mbwa, kwa mwenye uhitaji basi aje Pm , kwa details zaidiView attachment 2949024
Mimi napenda mbwa ila vidudu mbwa si vipendi vinatabia za ajabu ajabu sana, kuna siku nilikuwa nimeenda kumtembelea rafiki yangu mmoja wa kizungu anacho kimbwa chake jamii ya Chihuahua, japo huyu wa kwenye ni kama Corgi. Sasa bana wakati nimekaa kwenye sofa napiga stori na huyu demu wa kitasha hiki kidugu kikaja kikaanza kupiga miti raba ya niliokuwa nimevaa. Ndo yule demu akaanza kukizuia Rio stop, Nooo.
Kimoyo moyo nilimind sana lakini ndo hivo. Ila hicho ungekuwa Unguja hata 500k kwa wazungu unakamata.
 
Hapana umezidi... Bado sana hapo. Hako kambwa kamebeba minyoo na ni gharama sana kukarudisha kakae kama ka mbwa maana mpaka kamedumaa. So ni bora akagawe na ampe ambaye atakachukua some cash kukahudumia.
Huu muda unaokomalia kusema mbwa wangu ana minyoo , ungejitibia minyoo yako kwanza , maana naona imeanza kuleta madhara mpka kwenye ubongo wako
 
Back
Top Bottom