Mbwa anauzwa 300k

hiv vina adabu na vinafundishika
 
Huu muda unaokomalia kusema mbwa wangu ana minyoo , ungejitibia minyoo yako kwanza , maana naona imeanza kuleta madhara mpka kwenye ubongo wako
Nadhani wote mtakuwa na minyoo. Huwezi waza hata kukiuza hicho kipanya kwa tsh 20,000.. wewe unataka 300,000 huwezi kuwa sawa. Umeathirika wewe na kimbwa chako hamli chakula kisafi. Mnaokota okota.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…