The king9999
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 384
- 937
- Thread starter
- #121
ndio mkuu kanunue basi ukamuuzie wema 10M , huoni utapiga hela hapo , faida zaid ya 9MKa Manunu ka Wema Sepenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio mkuu kanunue basi ukamuuzie wema 10M , huoni utapiga hela hapo , faida zaid ya 9MKa Manunu ka Wema Sepenga
hiv vina adabu na vinafundishikaMimi napenda mbwa ila vidudu mbwa si vipendi vinatabia za ajabu ajabu sana, kuna siku nilikuwa nimeenda kumtembelea rafiki yangu mmoja wa kizungu anacho kimbwa chake jamii ya Chihuahua, japo huyu wa kwenye ni kama Corgi. Sasa bana wakati nimekaa kwenye sofa napiga stori na huyu demu wa kitasha hiki kidugu kikaja kikaanza kupiga miti raba ya niliokuwa nimevaa. Ndo yule demu akaanza kukizuia Rio stop, Nooo.
Kimoyo moyo nilimind sana lakini ndo hivo. Ila hicho ungekuwa Unguja hata 500k kwa wazungu unakamata.
sawa mkuuHaya mtafute uyo mwambie upo Mwanza unatafuta mteja wa uyo Mbwa +255784375467 mwingine +255767266950
aah kama hutumii itakuwa ni vyema , wekeza ununue mbuzi sasaSinywi mkuu nipo siriazi. Malezi niliyolelewa yanachangia.
Niwie radhi
mkuu hv hyo bleed unaijua kweli, sa si bora nikamhonge demu kambwa awe ananipa uteleziKula 50000 hapo chap kwa
Nadhani wote mtakuwa na minyoo. Huwezi waza hata kukiuza hicho kipanya kwa tsh 20,000.. wewe unataka 300,000 huwezi kuwa sawa. Umeathirika wewe na kimbwa chako hamli chakula kisafi. Mnaokota okota.Huu muda unaokomalia kusema mbwa wangu ana minyoo , ungejitibia minyoo yako kwanza , maana naona imeanza kuleta madhara mpka kwenye ubongo wako
Kaaah asa wauzaje mali uloibahapana mkuu nimemuokota, alikua abandoned
Siku atakuja na treni la kuokotaMleta uzi kaokota Mbwa.
Huyu demu akishakapata hako sahau utelezi anamalizana nakomkuu hv hyo bleed unaijua kweli, sa si bora nikamhonge demu kambwa awe ananipa utelezi
Sio bleed ni breedmkuu hv hyo bleed unaijua kweli, sa si bora nikamhonge demu kambwa awe ananipa utelezi
Hahaha, huyu hachelewi kusema kaokota kiwanja anakiuza.Siku atakuja na treni la kuokota
naelewa mwalimuSio bleed ni breed
mkuu nimeelezea mbwa alisombwa na maji , je ningemuuliza anakoishi nimpeleke?Hahaha, huyu hachelewi kusema kaokota kiwanja anakiuza.
hapana mkuu kana adabu haka , hakana nyege za ovyo ovyoHuyu demu akishakapata hako sahau utelezi anamalizana nako