Mbwa wa Biden aondoshwa ikulu kwa kung'ata ovyo mpaka walinzi wake

Mbwa wa Biden aondoshwa ikulu kwa kung'ata ovyo mpaka walinzi wake

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
1696528226130.png

Jibwa hili linalojulikana kama Commander ameshang'ata wafanyakazi wa ikulu karibia mara 15
Kabla ya Commander, Biden alikuwa na mbwa mwengine aliyeitwa Champ ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 13.

Mkasa uliopelekea commander kuondoshwa ni pale mnamp septemba 25 mnyama huyo aliyemng'ata mlinzi mmoja na kupelekea kulazwa hospitali kwa matibau.
 
View attachment 2772985
Jibwa hili linalojulikana kama Commander ameshang'ata wafanyakazi wa ikulu karibia mara 15
Kabla ya Commander, Biden alikuwa na mbwa mwengine aliyeitwa Champ ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 13.

Mkasa uliopelekea commander kuondoshwa ni pale mnamp septemba 25 mnyama huyo aliyemng'ata mlinzi mmoja na kupelekea kulazwa hospitali kwa matibau.
Wazungu washenzi sana makafir hawa, yaani wanamuacha umbwa anapanda na kukaa kwenye makochi?
 
Duuh...

Wanasema meno hayohayo anayotumia paka/mbwa kukung'ata pindi mnapocheza ndo hayhyo anayatumia kukung'ata pindi unapomkannyaga mkia...

Wafugaji tunaelewa..
Mbwa ni mbwa tu hata akae ikulu.Mtua anayependa kufanya urafiki na mbwa akakosana na nduguze na binadamu wenzake ni mtu muovu.Mbwa siku yako ikifika atakutafuna nyama.
ANGALIA JAMAA HUYU MCHEZAJI MPIRA alivyong'atwa na mbwa wake mpaka akafa.Biden kupenda kukaa peke yake na mbwa mwenye nguvu kama huyo atakuja kukutwa raisi ameumizwa vibaya.
 
Mbwa wa Rais Joe Biden aitwaye "Commander" ameondolewa Ikulu sababu ya kuwashambulia na kuwang’ata wafanyakazi.

Biden alipewa mbwa huyo kama zawadi Desemba 2021 kutoka kwa kaka yake James.

Kati ya Oktoba 2022 na Januari 2023 Mbwa huyo aina ya ”German Shepherd” amewashambulia baadhi ya wafanyakazi na maafisa wa huduma za siri katika matukio tofauti kumi.

Hivi karibuni Mfanyakazi mmoja wa kike alihitaji matibabu baada ya kushambuliwa na Commander mwenye umri wa miaka miwili.

Msemaji wa Jill Biden ambaye ni mke wa Rais Biden, amethibitisha kuwa mbwa huyo hayupo tena ikulu, na hatua zitakazofuatia zinafanyiwa tathmini.

Kabla ya Commander, mbwa mwingine wa familia hiyo aitwaye 'Major" alipelekwa kuishi kwa marafiki huko Delaware baada ya kuwang’ata wafanyakazi wa ikulu na maofisa wa huduma za siri.

CREDIT:
#KitengeUpdates

 
Back
Top Bottom