Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Naona anashambulia wasaliti (wenye hila) wa Biden, huyo mbwa kama ni mimi nisingemtoa ningemdhibiti anamaono huyo ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemuonea bure mbwa wa watu alikuwa anajilia utawala white houseNaona anashambulia wasaliti (wenye hila) wa Biden, huyo mbwa kama ni mimi nisingemtoa ningemdhibiti anamaono huyo ππππ
Wanatamani wao ndio wakawe commander.Kuna mijitu ishatamani kuwa mmbwa
Wamemtoa wakati akitimiza majukumu yake, "Dog is so intelligent" kiumbe kinaona mpaka wachawi hiki.Ubaya mbwa wa wenzetu wamepitia mafunzo ya hali ya juu tangia wakiwa wadogo.
Na mpaka mbwa anapelekwa ikulu anakuwa amefuzu mitihani mingi anayokuwa amepewa.
Shida imekuja baada ya kuonesha udhaifu
Ni wamemuonea kwa ninavyoona mimi.Wamemtoa wakati akitimiza majukumu yake, "Dog is so intelligent" kiumbe kinaona mpaka wachawi hiki.
Aache fufananisha mbwa wa ikulu ya biden na mbwa koko wake.
aje alinde bandari zako amaWamlete huku kama msaada.
Naam, atanisaidia sana ku deal na akina dr slaa na mwabukusi, wakiitisha press conference mwamba anaenda kuwatibua.aje alinde bandari zako ama
π€£π€£π€£π π nacheka kama mazuri vile ila naumiaNaam, atanisaidia sana ku deal na akina dr slaa na mwabukusi, wakiitisha press conference mwamba anaenda kuwatibua.
Nikitembelea hapo Ikulu, aning'ate aone kichaa cha mwafrika!View attachment 2772985
Jibwa hili linalojulikana kama Commander ameshang'ata wafanyakazi wa ikulu karibia mara 15
Kabla ya Commander, Biden alikuwa na mbwa mwengine aliyeitwa Champ ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 13.
Mkasa uliopelekea commander kuondoshwa ni pale mnamp septemba 25 mnyama huyo aliyemng'ata mlinzi mmoja na kupelekea kulazwa hospitali kwa matibau.
Vita gani wkt anavaa pampasi sa hivi?Kizee Cha Vita
Unamcheka mzee kuvaa pampas kana kwamba hilo daraja wewe ukijaaliwa kufika hautavaa...Vita gani wkt anavaa pampasi sa hivi?
Ana marinda kwani?Unamcheka mzee kuvaa pampas kana kwamba hilo daraja wewe ukijaaliwa kufika hautavaa...
Haya maswali waulize wanafunzi wenzio...Ana marinda kwani?
Nimeanza na wewe, maana wewe ndio monitor wa darasa hilo.Haya maswali waulize wanafunzi wenzio...
Hapana mkuu watafute wenzio ndg yangu...mimi siwezi kuandika hizo mambo hata iweje ndio maana nimegundua tumetofautiana sana Umri pia...Nimeanza na wewe, maana wewe ndio monitor wa darasa hilo.