Joe NavarroBiden upo jf ?
Duuh...Hao aliowang'ata ni masnitch, Mbwa na Paka hua wanawatambua watu wabaya.... Biden awe makini sana.
Saa tatu usiku ushalianzisha ***** ...... thumb up to you.
Wazungu washenzi sana makafir hawa, yaani wanamuacha umbwa anapanda na kukaa kwenye makochi?View attachment 2772985
Jibwa hili linalojulikana kama Commander ameshang'ata wafanyakazi wa ikulu karibia mara 15
Kabla ya Commander, Biden alikuwa na mbwa mwengine aliyeitwa Champ ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 13.
Mkasa uliopelekea commander kuondoshwa ni pale mnamp septemba 25 mnyama huyo aliyemng'ata mlinzi mmoja na kupelekea kulazwa hospitali kwa matibau.
Mbwa ni mbwa tu hata akae ikulu.Mtua anayependa kufanya urafiki na mbwa akakosana na nduguze na binadamu wenzake ni mtu muovu.Mbwa siku yako ikifika atakutafuna nyama.Duuh...
Wanasema meno hayohayo anayotumia paka/mbwa kukung'ata pindi mnapocheza ndo hayhyo anayatumia kukung'ata pindi unapomkannyaga mkia...
Wafugaji tunaelewa..