Mbwa wa Biden aondoshwa ikulu kwa kung'ata ovyo mpaka walinzi wake

Naona anashambulia wasaliti (wenye hila) wa Biden, huyo mbwa kama ni mimi nisingemtoa ningemdhibiti anamaono huyo 😁😁😁😁
 
Ubaya mbwa wa wenzetu wamepitia mafunzo ya hali ya juu tangia wakiwa wadogo.
Na mpaka mbwa anapelekwa ikulu anakuwa amefuzu mitihani mingi anayokuwa amepewa.

Shida imekuja baada ya kuonesha udhaifu
Wamemtoa wakati akitimiza majukumu yake, "Dog is so intelligent" kiumbe kinaona mpaka wachawi hiki.
 
Nikitembelea hapo Ikulu, aning'ate aone kichaa cha mwafrika!
 
Nimeanza na wewe, maana wewe ndio monitor wa darasa hilo.
Hapana mkuu watafute wenzio ndg yangu...mimi siwezi kuandika hizo mambo hata iweje ndio maana nimegundua tumetofautiana sana Umri pia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…