Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Free range system ๐๐๐๐Usimuue mpeleke kwa doctor anaweza kuwa na stress . Hali ya uchumi imekuwa ngumu hata vyakula vya mbwa tunAwabadilishia ghafla jamani nao wana hisia kutoka Pedigree hadi pumba na madagaa unadhani atakosa msongo wa mawazo ๐๐๐๐๐
Mimi wangu nawafungulia kila siku wakajitafutie chakula wanarudi jioni kama kuku wa kienyeji ๐๐๐๐๐๐๐๐ฝ
Oh...hooooooo!!Ni dume ila pia haliawahi kukutana na mwanamke tokalizaliwe.
Cariha hujambo?Sijaelewa hapo?
Sijambo za weweCariha hujambo?
Hahaha aise lazima umpoteze maana mbwa ashajiona ni alpha male mwenye boma huna jinsi lazima apotee tu..Naomba ushauri mbwa wangu anakuwa mkali bila sababu anabwekea wapangaji nahisi nitapata kesi kwa ukali wake nyumba yangu haijawahi kuibiwa ila Sasa ukali wake ni too much.
Nimempiga zile sindano tatu wapi bado hakomi (ant rabis) nyumba yangu ni kubwa inawapangaji wengi naogopa siku akikata mnyororo atakula watoto wawatu.
Anachoniudhi Sasa ananibwekea hata Mimi hii inanipandisha hasira mbaya zaidi nasikia mbwa Hali sumu hivyo napanga kumchapa chuma.
Naomba ushauri.
Superbug.
uhali gani carihaRoho mbaya inakusumbua umuue ili iweje?
Hafu nyie wenye nyumba kukaa na wapangaji huwa mna gubu Sana.
Huyo mbwa Hana shida ana tatizo la kisaikolojia inatakiwa umtaftie mtaalamu na huku. Bongo sidhani Kama wapo
Mimi buheri wa afya and feeling gratefuluhali gani cariha
Kwani bunduki kitu cha ajabu sana au? Mbona mimi Sina. Kitu lakin namilikiUmekuja kutuambia hapa kuwa unamiliki binduki siyo?
Haya
mungu ashukuriwe๐Mimi buheri wa afya and feeling grateful