Mbwa wangu anakuwa mkali bila sababu; nataka kumpiga risasi

Free range system ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚
 
Pamoja na hayo si haki kutoa uhai wa kiumbe pasipo sababu za msingi,anachopaswa atafute suluhu ya mbwa wake kuliko kumuua,mbwa hawezi kumshinda binadamu
 
Jirani yangu ana mbwa wake amezeeka vibaya mno,amebaki ngozi tu mwili mzima ,hana yale manyoya,na jicho moja limepofuka kwa uzee.lakini jamaa bado anampenda sana mbwa wake ,anasema anangoja Mungu amchukue,hawezi kumuua.wewe una roho mbaya sana,usimuue
 
Hahaha aise lazima umpoteze maana mbwa ashajiona ni alpha male mwenye boma huna jinsi lazima apotee tu..
 
mtafutie mwenzie tu wacha ukatili wako
 
Roho mbaya inakusumbua umuue ili iweje?
Hafu nyie wenye nyumba kukaa na wapangaji huwa mna gubu Sana.
Huyo mbwa Hana shida ana tatizo la kisaikolojia inatakiwa umtaftie mtaalamu na huku. Bongo sidhani Kama wapo
uhali gani cariha
 
fanya namna kabla akaume watu bila shaka ni upweke bana
 
MVIZIE HALAFU MPIGE KABALI MOJA KABAMBE BAADA YA HAPO KUNA MAWILI.

1.AKIWA HAI ATAKUHESHIMU
2.ATAKUA MAREHEMU
3.UTAKUA KILEMA

NI HAYO TU NDUGU MTOA UZI
 
Atakapokukula wewe ndo utajua.

Atakuwa na kichaaa huyo.

Mwenzio alibeba vijiumbwa toka sauzi vikaja mla baba yake.

Shauri zako usije sema hatukukuambia.

by the way........ hicho chuma kinaazimika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ