Mbwana Samatta alivyoruka viunzi vya Wadada wa Bongo na Wazungu

Dingi kaona mbali, ukiwa star na pesa mingi, utapendwa kwa ajili ya kitu na sio kwa ajili ya utu na mapenz.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huwa tunafeli saana hapo kwenye ndoa, utataka mwanamke wa kugongwa uoe,hiyo shida,wazee wa zamani walifaulu kwa kuchaguliana wake,ila siku hizi utandawazi tunaokota okota tu, ndio tunaokota majini yanatunyonya damu.

[emoji3][emoji3]
 
Mleta mada unatania aisee, Yani nikamate Hela ya maana halafu naanzaje kuwaacha hawa ma slay queen wa Bongo? Lazima nitembeze rungu mpaka watafutane.
 
akija likizo huwa anajifungia kwake kule kijichi. anacheza playstation na kufanya warm up mida ya alfajiri na washkaji zake wa kitaa.

huwezi kumuona anazurula kidimbwi, juliana au element na machawa/wadada wa mujini. samata is a very humble guy. hana makuu japo pesa anayo.
 
Mmmh ni nondo ila kwa Msuya sidhani kama una uhakika.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…