Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Pole yake sana Idrisa Sultan, yule wa Big Brother.Bora alivyo wakazazia wadangaji hawana tofauti na Majini, wangemkausha hela zake na wangempa stress hata performance yake ingekuwa hovyo.
Dingi kaona mbali, ukiwa star na pesa mingi, utapendwa kwa ajili ya kitu na sio kwa ajili ya utu na mapenz.Habari za wakati wakuu,
Panda gari popote ulipo za kwenda Mbagala rangi tatu ukifika nenda mpaka round about ya Chamazi kunja kushoto tembea kidogo utaona shule ya msingi mbele kidogo utaona msikiti upande wa kulia kunja kulia utaona nyumba kama kigorofa kidogo hivi hapo utakuwa umefika kwa kina SAMATTA, Mtanzania wa kwanza kucheza premier league na kuweka rekodi mbalimbali.
Sasa lengo la mada hii ni kuwakumbusha vijana tunapopata hela au umaarufu kidogo tusiwasahau wapenzi wetu na watu waliotuvumilia tukiwa hatuna kitu.
Kipindi Samatta anataka kuoa alipishana na mzee wake kwani baba yake ni mtu wa dini sana vile vile wanasema jungu kuu halikosi ukoko hivyo anawajua wanawake vizuri sana. Samatta alishatambulisha wanawake wengi kwa lengo la kuwaoa akiwemo yule mzungu kipindi yupo TP MAZEMBE ila mzee wake alikataa na kumwambia awe makini kwani hilo suala sio la kukurupuka.
Basi bwana baada ya kuona mzee kila binti analeta pingamizi ikabidi amshirikishe mzee unataka nioe mwanamke wa aina gani kumbe mzee ana hesabu zake kitambo kuna mwanamke Samatta alizaa nae. Baada ya tafakuri ya mda mrefu ikabidi akubali maana mwanamke alizaa naye toka Samatta anatoka katika safari ya mpira japo hawakuwa karibu baada ya Samatta kuwa mbali kwa ajili ya mpira.
Basi kijana ikabidi akubali wazo la baba yake na kuvuta jiko tena bila matangazo wala promo walialikwa watu wachache tena wale wakaribu wengine waliishia kuona picha tu Instagram ila tayari tukio lishafanyika watu walitegemea bonge la harusi na matangazo kibao ila kwa Samatta haikuwa hivyo.
Na katika vitu ambavyo Samatta amefanikiwa ni kuwakwepa hawa maslay queen wa bongo. Angewaendekeza angekuwa kama mwenzake Hasheem Thabiti na wengine wengi waliopotea kwa kuendekeza mapenzi. BIG UP TO HIM!
NB: Wanaume tunapopata pesa wapenzi wetu wa zamani tuliowapata kabla hatuna kitu ndio wa kuoa kama unataka uwe kama Eboue basi endekeza ma slay queen.
Kwanza Wema sepetu yule ana gundu hatari.Bora alivyo wakazazia wadangaji hawana tofauti na Majini, wangemkausha hela zake na wangempa stress hata performance yake ingekuwa hovyo.
Kwamba umemsahau Mwisho Mwampamba?Pole yake sana Idrisa Sultan, yule wa Big Brother.
Imebaki story
Huwa tunafeli saana hapo kwenye ndoa, utataka mwanamke wa kugongwa uoe,hiyo shida,wazee wa zamani walifaulu kwa kuchaguliana wake,ila siku hizi utandawazi tunaokota okota tu, ndio tunaokota majini yanatunyonya damu.
He!. Na uheshimiwa wote ule anajisimplify hivyo?Yule Kidoa alikuwa anajisogeza akala cha mbavu.
Huwa tunafeli saana hapo kwenye ndoa, utataka mwanamke wa kugongwa uoe,hiyo shida,wazee wa zamani walifaulu kwa kuchaguliana wake,ila siku hizi utandawazi tunaokota okota tu, ndio tunaokota majini yanatunyonya damu.
[emoji23]Watu wanafunga ndoa mpaka kwenye social media siyo mchezo sheikh [emoji16]
[emoji23]
Mimi mmoja wapo sheikh wangu.
Ndio dunia ilipofikia kaka, uzinifu kwenda mbele.Baba mzazi unamshauri mtoto wako aowe binti ambae hapo nyuma alikuwa akitembea nae na kisha kuzaanae, dah hii dunia!!
Ndio dunia ilipofikia kaka, uzinifu kwenda mbele.Baba mzazi unamshauri mtoto wako aowe binti ambae hapo nyuma alikuwa akitembea nae na kisha kuzaanae, dah hii dunia!!
Kidini kivipi? Hakuna tabu madhali hamuharibu sheria, mfano uzinifu kabla ya ndoa na kuendelea..Hahhaa hongera mkuu,,,lakini kidini limekaaje sheikh wangu, ni sahihi?
Kidini kivipi? Hakuna tabu madhali hamuharibu sheria, mfano uzinifu kabla ya ndoa na kuendelea..
Mke wangu nilipata humu humu(JF) kaka.
Mmmh ni nondo ila kwa Msuya sidhani kama una uhakika.!Hapana mkuu tatizo wanawake wengi ukiwa na hela wanakuwa na tamaa na wanaweza wakafanya chochote ili wapate hela refer to,
Didier Drogba
Emanuel eboue
Na mchezaji mmoja wa nigeri nimemsahau jina.
Mwanamke usipokuwa na hela atachepuka na mwenye hela na ukiwa na hela anawaza atakumaliza vipi ili awe na uhuru wakuzitumia peke yake refer,
Jacqueline mengi
Mke wa msuya
Mbagala rangi tatu kuna jamaa ana maduka makubwa ya jumla aliponea chupu chupu kufa baada ya mke wake kumewekea sumu.
Hata diamond anaogopa kuoa kwasababu hyo anaogopa ma gold digger.