Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Ndio dunia ilipofikia kaka, uzinifu kwenda mbele.
Mtihani sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio dunia ilipofikia kaka, uzinifu kwenda mbele.
Ukiwa mshamba ndo yanakukuta km ya Idris!Pole yake sana Idrisa Sultan, yule wa Big Brother.
Imebaki story
Sasa huo ni ushamba ambao Sama goal hanagaMleta mada unatania aisee, Yani nikamate Hela ya maana halafu naanzaje kuwaacha hawa ma slay queen wa Bongo? Lazima nitembeze rungu mpaka watafutane.
Mkeo ni mzaliwa wa mkoa upi?Kidini kivipi? Hakuna tabu madhali hamuharibu sheria, mfano uzinifu kabla ya ndoa na kuendelea..
Mke wangu nilipata humu humu(JF) kaka.
Angemuoa mzungu angeishia kuwa Emmanuel Eboue wa Arsenal!
Hahahaha washamba ndo wanaoliwa kaka, sasa wanaume wote wakiwa wajanja, maslay queen watakula wapi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mademu wa kizungu ni vibaka, ukijipendekeza na viela vyako lazima upigwe.
Si tunasemaga Wazungu wana true love, au ni kwa wenzao weupe tu?Mademu wa kizungu ni vibaka, ukijipendekeza na viela vyako lazima upigwe.
Ata mimi uwa nawaza dunian tunaishi miak michache sana sasa mi nipate pesa na umaarufu niache kutafuna totozi.Napigilia msumari hii comment ikae kwenye notice board
Mwisho kafulia kweli, alikuwa na mpenz wake huku mzuri kweli, baada ya kuwa jina alimpotezea yule Dada, na kushobokea kina ray c.Kwamba umemsahau Mwisho Mwampamba?
Kidoa huyu msimamizi wa Kaya mojawapo hapa Daslamu?Yule Kidoa alikuwa anajisogeza akala cha mbavu.
Sio Kidoti ,huyo anajiita Kidoa,mbongo movies.👇👇👇Kidoa huyu msimamizi wa Kaya mojawapo hapa Daslamu?
Aisee...basi sitatongoza mzungu...😂😂😂Mademu wa kizungu ni vibaka, ukijipendekeza na viela vyako lazima upigwe.
Sio Mzungu tu, hata Wabongo. Usitongoze kwa sifa.Aisee...basi sitatongoza mzungu...[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule Kidoa alikuwa anajisogeza akala cha mbavu.
Kweli kabisa mkuu. Unatakiwa uwe na vitu vyako vya nguvu kama vitatu tu baas unajilia taratibu wala huangaiki na hawa viruka njia.Sema kupiga miti wanawake wengi ni kufukuza upepo tu
Baba mzazi unamshauri mtoto wako aowe binti ambae hapo nyuma alikuwa akitembea nae na kisha kuzaanae, dah hii dunia!!