Mbwana Samatta alivyoruka viunzi vya Wadada wa Bongo na Wazungu

Kosa la baba liko wapi hapo?
👆🏽
 
Wewe jamaa upo kumbe bado
 
Ee mungu nisaidie kuna pisi kali virginometer imetembea mile nyingi balaa inataka kutua kontena kwangu na ndio muda mafanikio yanabisha hodi.
amina
 
Ee mungu nisaidie kuna pisi kali virginometer imetembea mile nyingi balaa inataka kutua kontena kwangu na ndio muda mafanikio yanabisha hodi.
amina
Anakuja kula mafao.
Ukiona pisi kali zinakuzengea una harufu ya mafanikio hao wako kama tai wale wala mizogo hunusa mzoga toka mbali yaani
 
Tanzania sweetheart hakuweka kambi hapo?
 
Mimi nikiwa star aiseeh kuoa kutasubiri sana.. nitakula watoto hao wa insta na bongo movie kama nini
😁😁 achana na hao waigizaji hata sio wakali! Kuna vile vi dem vinapostigi clips wanaimba nyimbo za ma star daah! Wanakuwaga wakali balaa
 
Kumbe lisammata Na bichwa kubwa lile la kufungia magoli haliwezi kujiamulia mke wa Kuoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…