Mbwana Samatta alivyoruka viunzi vya Wadada wa Bongo na Wazungu

Nadhan Mungu ana sababu kuninyima pesa na umaarufu nisiwe muongo ningekuw mzee wa totoz sana

Nimejisemea upande wangu
Aisee...wee ni kama mie tuu. Yaani ningekuwa nazo kwa kweli naona kwanza ningekuwa muanzilishi wa porno industry hapa bongo
 
Ni kweli

Lakini tabia ni ngozi mkuu!

Mwanamke alietimiza ndoto zake mikononi mwako akiendelea kukuheshim shukuru mungu sana!
 
Mimi nikiwa star aiseeh kuoa kutasubiri sana.. nitakula watoto hao wa insta na bongo movie kama nini
Sasa Bongo movie nako kuna wanawake wa kutamani kweli au matakataka? Yana tofauti gani na wale wa Sinza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…