Mbwana Samatta ndio mchezaji bora wa soka wa muda wote Tanzania, GOAT

Mbwana Samatta ndio mchezaji bora wa soka wa muda wote Tanzania, GOAT

huyu kila dakika anasifiwa na vyombo vya habari!. basi angefika club kubwa huko.
watanzania bwana msije kumpoza faisali kwa haya haya
Feisal kumpoza kwani ataende wap?
uswahili wa hz team zetu ulishamuingia damuni. haendi kokote nje atazurura humu humu.
 
Nostalgic merchant. Kwangu mimi Samatta ni GOAT kibongobongo
Kwangu alijiongeza kwenda nje mapema angedumaa kama angebaki bongo , kwa level ya kimpira hata Haruna Moshi Boban mzuri kuliko Samata.
 
Story za lunyamila au sunday manara ni ubishi wa kutokubali ukweli. Hawana kikubwa walichofanya kwenye soka kumzidi Samatta.
Nisiyemuona Sunday Manara,ila Samata uzuri aliwahi kujitambua tofauti ya Lunyamila hata Haruna Moshi Biban,ila kimpira Samata kwangu bado hajafikia level za hao juu.
 
Kamzidi nini Samatta ukitoa umri ?...
Sijajua wewe kimpira una angalia vitu gani, ila kwa uwezo binafsi Lunya ni bora ,sema Lunya alizingua mwenyewe nasikia Nonda Shabani alijaribu kuntafutia timu ulaya akakomaa na Yanga.Mwenzake Nonda kachezea Monaco na kacheza mpaka fainali ya UEFA baadae akaenda EPL.

Kwangu alicho wazidi Samatta wachezaji wa bongo ni kujitambua na kuwahi kuondoka kwenye soka la bongo, ila angekaa miaka mitatu hapa angekuwa kama Kibu.
 
Nikweli samatta kimafanikio katuzidi wengi hapa east africa, ila kusema ndo mchezaji pekee kutoka east kuchukua tuzo ya mchezaji bora kwa wachezaj wa ndani ni uwongo mtupu! Kuna goli kipa wa mamelod kutoka uganda alichukua hiyo tuzo pia.
 
Nisiyemuona Sunday Manara,ila Samata uzuri aliwahi kujitambua tofauti ya Lunyamila hata Haruna Moshi Biban,ila kimpira Samata kwangu bado hajafikia level za hao juu.
Kumbe haufahamu kuwa lunyamila alienda kufanyiwa majaribio Germany akafeli akarudi? Yani hakuwa na talent ya kucheza ulaya.
 
Yuko overated ,sitamsahau alinitia hasara kununua jezi originol ya aston villa kwa 250,000,akaishia kufunga goli moja mechi 14,
Hakuwa mchezaji mbovu,naamini Villa hawakumpa muda,alikuja kipindi cha covid league ikasimama,yupo kwenye nchi ngeni na mazoezi anafanya peke yake.
 
Kumbe haufahamu kuwa lunyamila alienda kufanyiwa majaribio Germany akafeli akarudi? Yani hakuwa na talent ya kucheza ulaya.
Kushindwa sio kama hujui, mbona wachezaji kibao washawahi kukataliwa na club kubwa ila leo hii wanatamba Mfano Martinelli,hata huyo Nonda Shabani husizani kama ilikuwa directly.

Mfano kwenye mziki Diamond ndiye msanii mkubwa na mwenye mafanikio sababu alijiongeza mapema, anajua soko la ndani na nje linataka nini ,anajua kuubrand mziki wake ,amewekeza ,anajituma nk.Ila haimanishi kwamba anajua kuimba kuliko wote walio tangulia. Ndio maana nikakwambia Samatta aliwahi kujiongeza na si kwamba anatalent kubwa kuliko waliopita ,sometimes kujitambua ndio kila kitu.Hebu mtizame Hajibu leo hii angekuwa anajitambua nahisi hata Chama angeanzia nje, tatizo wachezaji wabongo hawajiogezi na hawajitambui.

Haruna Moshi Boban,Kapombe nk hizi ni talent kubwa sana zilizopata chance ya kucheza nje ila zili shindwa kujiongeza na kujitambua.Hawa wachezaji wa Africa Magharibi unawaona leo na ukubwa wao wamefanyiwa trial nyingi sana na mpaka wametoboa kushindwa trial haimaanishi hujui.
 
Kushindwa sio kama hujui, mbona wachezaji kibao washawahi kukataliwa na club kubwa ila leo hii wanatamba Mfano Martinelli,hata huyo Nonda Shabani husizani kama ilikuwa directly.

Mfano kwenye mziki Diamond ndiye msanii mkubwa na mwenye mafanikio sababu alijiongeza mapema, anajua soko la ndani na nje linataka nini ,anajua kuubrand mziki wake ,amewekeza ,anajituma nk.Ila haimanishi kwamba anajua kuimba kuliko wote walio tangulia. Ndio maana nikakwambia Samatta aliwahi kujiongeza na si kwamba anatalent kubwa kuliko waliopita ,sometimes kujitambua ndio kila kitu.Hebu mtizame Hajibu leo hii angekuwa anajitambua nahisi hata Chama angeanzia nje, tatizo wachezaji wabongo hawajiogezi na hawajitambui.

Haruna Moshi Boban,Kapombe nk hizi ni talent kubwa sana zilizopata chance ya kucheza nje ila zili shindwa kujiongeza na kujitambua.Hawa wachezaji wa Africa Magharibi unawaona leo na ukubwa wao wamefanyiwa trial nyingi sana na mpaka wametoboa kushindwa trial haimaanishi hujui.

Mkuu hao wachezaji wote uliowataja ni average players kama Lunyamila ndio maana hata South Africa hawakuonekana. Samatta alipewa nafasi akaonesha uwezo.

Genk walikuwa wana wimbo maalum kabisa wa Sama goal.

Unaweza niambia Lunyamila kafanya nini kwenye soka? Au unaweza justify vipi Lunyamila ni mwanasoka bora wamuda wote? Chenga nyingi au?
 
Mkuu hao wachezaji wote uliowataja ni average players kama Lunyamila ndio maana hata South Africa hawakuonekana. Samatta alipewa nafasi akaonesha uwezo.

Genk walikuwa wana wimbo maalum kabisa wa Sama goal.

Unaweza niambia Lunyamila kafanya nini kwenye soka? Au unaweza justify vipi Lunyamila ni mwanasoka bora wamuda wote? Chenga nyingi au?
Kapombe na Boban sio average player hata Zimbwe yule wa Simba sio average player tatizo hawa jiongezi na kuzitizama Fursa.

Kwangu Lunya ni bora based on individual ability ambazo ziliipa mafanikio Yanga.
 
Back
Top Bottom