mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Poor justification,mbona wenzake walikiwashaHakuwa mchezaji mbovu,naamini Villa hawakumpa muda,alikuja kipindi cha covid league ikasimama,yupo kwenye nchi ngeni na mazoezi anafanya peke yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poor justification,mbona wenzake walikiwashaHakuwa mchezaji mbovu,naamini Villa hawakumpa muda,alikuja kipindi cha covid league ikasimama,yupo kwenye nchi ngeni na mazoezi anafanya peke yake.
Lunyamila kwa sie tuliomuona ni GOATMkuu hao wachezaji wote uliowataja ni average players kama Lunyamila ndio maana hata South Africa hawakuonekana. Samatta alipewa nafasi akaonesha uwezo.
Genk walikuwa wana wimbo maalum kabisa wa Sama goal.
Unaweza niambia Lunyamila kafanya nini kwenye soka? Au unaweza justify vipi Lunyamila ni mwanasoka bora wamuda wote? Chenga nyingi au?
Amekifanya nini?Hujamuona Lunyamila.
Weka takwimu na mafanikio akeHujamuona Lunyamila.
Kocha bora kwa sasa, EPL ni Artetamakocha wanajinasibu ni bora kwa sasa epl wote kawatungua.
klopp
Liverpool vs Genk uefa champion league.
Pep Gurdiola
Man city vs Aston villa Carabao cup final Wembley.
Yaoneshe alipokuwa villa.Hayupo overrated mambo yake yanaonekana.
Nashindwa kuelewa. Watu hawajaelewa thread inasema nini. Hata mimi nakubali kwa Tanzania huyu ndiye mchezaji pekee anayeongoza kwa mafanikio.Story za lunyamila au sunday manara ni ubishi wa kutokubali ukweli. Hawana kikubwa walichofanya kwenye soka kumzidi Samatta.
yawezakuwa.Kocha bora kwa sasa, EPL ni Arteta
Una uhakika wachezaji wote walionunuliwa na villa wamekiwasha? Akina Shevchenko, Morata, Falcao, Minamino wameflop pale EPL lakini haimaanishi walikuwa au ni wachezaji wabovu na walikotoka walikuwa WA moto. Samatta ni mchezaji Bora WA muda wote Tz. Kathibitisha ubora akiwa Tp mazembe akimuweka benchi Tresor Mputu na kupata mafanikio kibao.Kathibitisha ubora Genk.Poor justification,mbona wenzake walikiwasha