Mbwana Samatta ni mchezaji wa kawaida sana anakuzwa mno

Mbwana Samatta ni mchezaji wa kawaida sana anakuzwa mno

Rank Name Team Goals First scorer Penalties Missed penalties
1 Mbwana Samata Genk 20 5 1 0
2 Hamdi Harbaoui Zulte Waregem 18 7 4 0
3 Ivan Santini Anderlecht 14 3 2 0
4 Landry Dimata Anderlecht 13 3 3 0
5 Renaud Emond Standard Liege 12 2 3 0
5 Yohan Boli St.Truiden 12 1 0 0
5 Daichi Kamada St.Truiden 12 5 1 0
5 Victor Osimhen Sporting Charleroi 12 2 1 0
9 Hans Vanaken Club Brugge 11 4 5 0
9 Leandro Trossard Genk 11 2 1 0
9 Siebe Schrijvers Club Brugge 11 1 0 0
12 Wesley Club Brugge 10 4 1 0
13 Jovan Stojanovic Kortrijk 9 2 1 0
13 Cristian Benavente Sporting Charleroi 9 5 1 0
13 Ruslan Malinovsky Genk 9 3 2 0
16 Lior Refaelov Royal Antwerp 8 3 3 0
16 Luis Garcia Eupen 8 2 3 0
16 Gianni Bruno Cercle Brugge 8 1 3 0
16 Felipe Avenatti Kortrijk 8 3 0 0
16 Theo Bongonda Zulte Waregem 8 2 0
sasa icho ulichopost ni nn ebu soma kichwa cha habari
 
Ukiweza kunipa ushahidi Ni lini Samata amewahi kuwa Top scorer wa ligi ya Belgium NITAKUPA LAKI 2....





Sent using Jamii Forums mobile app
Huu hapa leta na wewe mfungaji wako
Screenshot_2020-01-18-17-22-03-89.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu hapa leta na wewe mfungaji wakoView attachment 1326781

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa unajua walau league ya Belgium inavyoendeshwa usingeleta hii Takwimu ... Sikia kijana ,


Ligi ya German imegawanyika kwenye sehemu 2 , Pro league na Play off league ya mechi 10 baada ya ligi ligi ya kwanza kuisha ... Hii hushirikisha timu kuanzia inayoshika nafasi ya kwanza mpaka nafasi ya 6....


Katika zile mechi za playoff samata akizidiwa magoli... Acha kuniwekea Takwimu usizojua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekuwa unajua walau league ya Belgium inavyoendeshwa usingeleta hii Takwimu ... Sikia kijana ,


Ligi ya German imegawanyika kwenye sehemu 2 , Pro league na Play off league ya mechi 10 baada ya ligi ligi ya kwanza kuisha ... Hii hushirikisha timu kuanzia inayoshika nafasi ya kwanza mpaka nafasi ya 6....


Katika zile mechi za playoff samata akizidiwa magoli... Acha kuniwekea Takwimu usizojua

Sent using Jamii Forums mobile app
Leta ushahidi wa huyo mfungaji wako Acha maneno ya kwenye kanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom