Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Mkuu wenzio wamebadilika ila we bado una roho ya kwanini!

Mtapata tabu sana

Kwa hiyo Mumpeleke AJIBU basi[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lukaku anafunga magoli ya ufundi?... Mwisho wa siku kinachotakiwa ni magoli...haijalishi hata kama yamefungwa kwa mkono au kiuno
Umesema vizuri sana,90 minutes haiangalii ulifunga kwa mkono au kwa mguu,kinachotakiwa ni magoli,tena mfungaji anaefunga goli nyingi zaidi ndio mchezaji bora zaidi,that is football.Genk ni timu kubwa Belgium, yenye mameneja tena waliosomea na kubobea hawatakuwa wajinga watupe pesa kumlipa mchezaji wakati wanajua kuwa ni mtu wa kubahatisha,the guy is talented tuache wivu wa kizamani bana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAOMBA KUJUA IVI BIG MATCH ZA LIGI YAO HUWA ANAFUNGA?????????
 
Critical views...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAOMBA KUJUA IVI BIG MATCH ZA LIGI YAO HUWA ANAFUNGA?????????
huwa anafunga ila kwa kubahatisha yaani timu kama Anderlecht, Na Clube Brugge huwa zinawapa shida sana. yeye anazionea timu kama vile Eupen, Oostende, kortrijk, na Waasland Beveren....ila hapo kwa Anderlecht, Clube Brugge, Standard Liege na Gent huwa wanapata matokeo kwa tabu saana
 
Safi sana, tunataka evidence kama hivyo. Siyo mtu anaeleza hisia tupu bila kuweka facts mezani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…