Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Sio kwa bandari za ulaya tu, sasa wameziingilia club za mpira na Manchester united nayo imepitiwa acha mchezo na pesa, wanachotaka wao walichowekeza kilete manufaa sio bla bla
Kweli kabisa, Dubai hawana mafuta kama jirani zao, uchuni wao unategemea biashara tu, hawana nchezo na biashara na Mwenyezi Mungu anawabariki hawana longo longo na biashara.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Niwe mkweli tu mi nawakubali DP World.

Tuache siasa
Hakuna shaka na DP WORLD. cause wanainovate mifumo kuwa efficient

Tuna shaka na MKATABA usio clear na kuonesha mipaka na kikomo chake

Tuwe waelewa.
 
Mkataba uwe kama huu hapa👇Na uhusishe bandari ya Dar na Zanzibar tu.
Htutaki kama huo.


Uhusishe gati tu pale bandarini kwa kuanzia usihusishe bandari yote. Na ndivyo mma Samia alivyofanya, mama Samia anamuono wa hali ya juuu san kuliko unavyomfikiria. Yupo mbali sana na ujinga wetu wa Kiafrika. Haki ya Mungu yule mama ana damu ya nje ya Afrika. Bofya chini hapa ujionee ujinga wetu wa Kiafrika:

 
Wazinzabar mmekua madalali wa mali za Tanganyika, shame on you.
Kuna Tanzania, jiulize unapate jina Tanzania bila Zanzibar?


Tena nyie mliingizwa mkenge na Mjerumani kuikata hii nchi, wote mngekuwa mnajivunia Uzanzibari.

Mie kwetu baharini Mkuranga, Boza Beavh au kwa jina lingine Shungubweni. Pwani kabisa. Unafahamu kuwa hata Mjerumani alipoikata hii nchi juu ya mesa, bado pwani yote ikabaki kuwa ni Zanziba, kwa maili 10 yaani Kilomita 16 kwa sasa. Kwa hiyo hata Bandari hiyo kisheria ni Zanzibar. Jionee...

 
Kuna Tanzania, jiulize unapate jina Tanzania bila Zanzibar?


Tena nyie mliingizwa mkenge na Mjerumani kuikata hii nchi, wote mngekuwa mnajivunia Uzanzibari.

Mie kwetu baharini Mkuranga, Boza Beavh au kwa jina lingine Shungubweni. Pwani kabisa. Unafahamu kuwa hata Mjerumani alipoikata hii nchi juu ya mesa, bado pwani yote ikabaki kuwa ni Zanziba, kwa maili 10 yaani Kilomita 16 kwa sasa. Kwa hiyo hata Bandari hiyo kisheria ni Zanzibar. Jionee...

Hizo ni hadithi, tunazungumzia Sasa hivi, kuishi pwani ni choice ya MTU! Acheni kuuza rasilimali za Watanganyika Kwa kigezo Cha kijinga
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Hizo hela zimeandikwa au kudhihirishwa wapi? Au kwenye ukurasa wa ngapi kwenye IGA?

Weka hapa hata kipengele cha mkataba
 
Hizo hela zimeandikwa au kudhihirishwa wapi? Au kwenye ukurasa wa ngapi kwenye IGA?

Weka hapa hata kipengele cha mkataba
Bila ya kuingia kwenye vifungu vya makubaliano, nukuwekea hapa ukurasa wa mbele kabisa wa makubaliano utuambie umekielewa nini:

1687696298353.png
 
Back
Top Bottom