FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #321
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Wasiwekeze kwanza. Mbona bado wananchi hatujakubaliana wala ile mikataba ya project kwa project hatujawekeana mkataba hsta mmoja. Au ndio hii document inatushangaza kwa masharti yake wamesaini kina mbarawa wao ndio wanajua wameshapewa bandari zetu? Uongo wao mbona tayari tutakua tumehakikisha.
Waarabu wao wameshajua bandari zetu ni zao😂🤣
Wewe unakumbuka shuka kumekucha.