Majuzi nimepita Mbweni nikashangaa kabisa.
Barabara nyingi zilizokuwa hazipitiki sasa ni lami tupu.
Najua huu ni mkakati wa viongozi wengi kujipendelea maana wengi wamejenga huko.
Nimepeta tetesi kuwa hata kwa Katinu mkuu Kiongozi, watu wameamriwa barabara iendayo kwake iwekwe lami.
Tofauti na Mbweni, huku Mbezi Beach barabara za kwenda makazi ya watu hazijashughulikiwa kabisa.
Barabara za NSSF Flats
Barabara za Jogoo Cotex
B arabara za Mbezi Tangi Bovu
Barabara ya Mbezi 5 Star
Barabara ya Ndumbwi-Baraza la Mitihani
Barabara za chini Kwa Lukuvi
Ila barabara ya kwenda kwa Kikwete Kawe Beach ilikengwa chap chap!
Huu upundeleo dhahiri wa viongozi kujinufaisha!